Masanja unafanya ibada gani USA? Hilo vazi ni rasmi kwa wanaibada?

Masanja unafanya ibada gani USA? Hilo vazi ni rasmi kwa wanaibada?

Vazi rasmi ni lipi?
Dini gani imelipitisha?
Utakatifu wa vazi ni muhimu kuloko utakatifu wa roho?

Angevaa kanzu nyeupe huku kuna damu za watu zinamlilia mikononi kama wanasiasa wetu ingekuwa sawa?

Ulitaka avae joho na dhahabu?
Ulitaka avae mapete ya bahati kama shehe yahya?
Jaman hata wewe umeshindwa kumuelewa mleta mada?

Angalia suti na huo urembo wake ni masonic signs
 
Basi beba unga upitishe,angalia hata YouTube borders wanakamata halafu wanakutia kwenye chumba kidogo wao wanabaki na computer kukuangalia tumboni
Hakuna mashine inayotumika sasa yenye mionzi ya ki atomic ni kinyume na sheria za atomic kumpiga x-ray binadamu mwili mzima airport. Kama hujasafiri kaa kimya.
Mizigo utapigwa x-ray ila siyo binadamu. Na hakuna mashine yoyote airport ya kujua kama umebeba unga tumboni jua ivyo dogo.
 
Jaman hata wewe umeshindwa kumuelewa mleta mada?

Angalia suti na huo urembo wake ni masonic signs
Hiyo ni tafsiri yako finyu uliyofundishwa madrassa.
Shetani ni muongo na ni baba wa huo.
kila kitu kuanzia muziki, uimbaji na mavazi mzuri yalikuwa kwa Mungu, shetani kaiba, shetani hakai kwenye mavazi hata siku moja, wacha kutisha watu, itafika sku mtasema hata kazznu ya shehe na padri ni masonic, mtasema kilemba cha sista ama nikkab ya ustadhat ni uchawi, hapana, am not that low
 
Huyo Masanja ni punda ,hakuna cha ibada hapo
 
Hakuna mashine inayotumika sasa yenye mionzi ya ki atomic ni kinyume na sheria za atomic kumpiga x-ray binadamu mwili mzima airport. Kama hujasafiri kaa kimya.
Mizigo utapigwa x-ray ila siyo binadamu. Na hakuna mashine yoyote airport ya kujua kama umebeba unga tumboni jua ivyo dogo.

Mkuu ungemjibu kiustaarabu tu, kwani mpaka umwambie kama hajasafiri akae kimya? Inawezekana hana tu uelewa wa mambo na anahitaji kueleweshwa si kwa kubezwa. Afterall binafsi wala hata hizo safari za midege sinaga mzuka nazo kihivyo. Ni kwa vile tu mtu unahitaji kusafiri na ni lazima uende, na sehemu unayoyenda haina usafiri wa gari. Ziadi ya hapo ni roho juu tu ukiwa angani mwanzo mwisho.
 
Hivi ukiwa mlokole ni lazima uvae miviatu imechongoka mithili ya bamia
 
Siku si nyingi utasikia na yeye amekuwa mchungaji!
Anaanzisha kanisa lake, na Mara paaap!waumini kibao!!
Mipesa hiyoooo!!
Harafu kijana darasa LA saba tu!!kama Mond lakini mipesa kibaoooo!wasomi tunafeli wapi?!!! Si bora utoke na digree yako ya uhandisi,harafu ukajifunze ukomedy kama masanja au joti!!
Lakini haya ni maisha unaweza ukawa na ukomedy wako, ukaishia kama Bambo!!!!
Ahhhhh ni utani tu!
Dah
 
Siku si nyingi utasikia na yeye amekuwa mchungaji!
Anaanzisha kanisa lake, na Mara paaap!waumini kibao!!
Mipesa hiyoooo!!
Harafu kijana darasa LA saba tu!!kama Mond lakini mipesa kibaoooo!wasomi tunafeli wapi?!!! Si bora utoke na digree yako ya uhandisi,harafu ukajifunze ukomedy kama masanja au joti!!
Lakini haya ni maisha unaweza ukawa na ukomedy wako, ukaishia kama Bambo!!!!
Ahhhhh ni utani tu!
Aseehhh noooma sanaa
 
Siku si nyingi utasikia na yeye amekuwa mchungaji!
Anaanzisha kanisa lake, na Mara paaap!waumini kibao!!
Mipesa hiyoooo!!
Harafu kijana darasa LA saba tu!!kama Mond lakini mipesa kibaoooo!wasomi tunafeli wapi?!!! Si bora utoke na digree yako ya uhandisi,harafu ukajifunze ukomedy kama masanja au joti!!
Lakini haya ni maisha unaweza ukawa na ukomedy wako, ukaishia kama Bambo!!!!
Ahhhhh ni utani tu!
Umetisha sana mkurugenzi!
 
Back
Top Bottom