Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
[emoji23]Akirud tz tayari ni nabii na mtume masanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Akirud tz tayari ni nabii na mtume masanja
[emoji23]Hahahah.Kwa dunia ya sasa na wakristo wa leo,mbona hata wewe unaweza tu..
Semaa yule ni attention seeker tu.
Jamaa anaushamba wa kuamini kuwa marekani ni everything basi wabena wenzake wanamuona yuko juu,unless awe anaingiza hela huko
Jaman hata wewe umeshindwa kumuelewa mleta mada?Vazi rasmi ni lipi?
Dini gani imelipitisha?
Utakatifu wa vazi ni muhimu kuloko utakatifu wa roho?
Angevaa kanzu nyeupe huku kuna damu za watu zinamlilia mikononi kama wanasiasa wetu ingekuwa sawa?
Ulitaka avae joho na dhahabu?
Ulitaka avae mapete ya bahati kama shehe yahya?
Hakuna mashine inayotumika sasa yenye mionzi ya ki atomic ni kinyume na sheria za atomic kumpiga x-ray binadamu mwili mzima airport. Kama hujasafiri kaa kimya.
Mizigo utapigwa x-ray ila siyo binadamu. Na hakuna mashine yoyote airport ya kujua kama umebeba unga tumboni jua ivyo dogo.
Hiyo ni tafsiri yako finyu uliyofundishwa madrassa.Jaman hata wewe umeshindwa kumuelewa mleta mada?
Angalia suti na huo urembo wake ni masonic signs
Hakuna mashine inayotumika sasa yenye mionzi ya ki atomic ni kinyume na sheria za atomic kumpiga x-ray binadamu mwili mzima airport. Kama hujasafiri kaa kimya.
Mizigo utapigwa x-ray ila siyo binadamu. Na hakuna mashine yoyote airport ya kujua kama umebeba unga tumboni jua ivyo dogo.
Swali zuri sana ...ahsante kwa uelewa mzuri usiofuata upepo wa watuNimekuwa na mashaka na aina ya suti uliyovaa. Napenda kujua ni kanisa gani ulilotoka kuabudu?
.
DahSiku si nyingi utasikia na yeye amekuwa mchungaji!
Anaanzisha kanisa lake, na Mara paaap!waumini kibao!!
Mipesa hiyoooo!!
Harafu kijana darasa LA saba tu!!kama Mond lakini mipesa kibaoooo!wasomi tunafeli wapi?!!! Si bora utoke na digree yako ya uhandisi,harafu ukajifunze ukomedy kama masanja au joti!!
Lakini haya ni maisha unaweza ukawa na ukomedy wako, ukaishia kama Bambo!!!!
Ahhhhh ni utani tu!
Aseehhh noooma sanaaSiku si nyingi utasikia na yeye amekuwa mchungaji!
Anaanzisha kanisa lake, na Mara paaap!waumini kibao!!
Mipesa hiyoooo!!
Harafu kijana darasa LA saba tu!!kama Mond lakini mipesa kibaoooo!wasomi tunafeli wapi?!!! Si bora utoke na digree yako ya uhandisi,harafu ukajifunze ukomedy kama masanja au joti!!
Lakini haya ni maisha unaweza ukawa na ukomedy wako, ukaishia kama Bambo!!!!
Ahhhhh ni utani tu!
Umetisha sana mkurugenzi!Siku si nyingi utasikia na yeye amekuwa mchungaji!
Anaanzisha kanisa lake, na Mara paaap!waumini kibao!!
Mipesa hiyoooo!!
Harafu kijana darasa LA saba tu!!kama Mond lakini mipesa kibaoooo!wasomi tunafeli wapi?!!! Si bora utoke na digree yako ya uhandisi,harafu ukajifunze ukomedy kama masanja au joti!!
Lakini haya ni maisha unaweza ukawa na ukomedy wako, ukaishia kama Bambo!!!!
Ahhhhh ni utani tu!