MASASI: Aliyedaiwa kuwa amefariki amezinduka na kuomba apatiwe uji anywe

Jamani watu wa huko Wana Maisha duni sana. Hapo ndio bedroom na vifaa vyote vya gharama vinahifadhiwa hapo kwa usalama zaidi.
Ndio maana ukimchokoza binti wa huko na kumpeleka gheto kwenye kitanda Kama Cha mwenezi mstaafu chenye neti, feni na KY ujue umeoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…