Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
hahahaha kweli aisee,utakuta demu hataki Toka gheto hivi hivi!Jamani watu wa huko Wana Maisha duni sana. Hapo ndio bedroom na vifaa vyote vya gharama vinahifadhiwa hapo kwa usalama zaidi.
Ndio maana ukimchokoza binti wa huko na kumpeleka gheto kwenye kitanda Kama Cha mwenezi mstaafu chenye neti, feni na KY ujue umeoa.
Hata mimi nadhani waislam wanakuwa hawajafa vizuri maana wanawazika haraka.Mi ndio maana sipendi mambo ya kuzika harakaharaka
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Ewaah, nakumbuka zamani kidogo kuna jirani yetu alizinduka siku ya tatu akaomba apewe supu ya jogoo na ndizi za moto.
Nilishangaa sana maana Kwa Ile mochuari ya asili aliyokuwepo na maji aliyokua anamwagiwa sikutegemea kama angekua hai.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Tofautisha kuwa na ngozi nyeusi na kuwa CCM
Hahahahah daaaaah mkuu umeua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ewaah, nakumbuka zamani kidogo kuna jirani yetu alizinduka siku ya tatu akaomba apewe supu ya jogoo na ndizi za moto.
Nilishangaa sana maana Kwa Ile mochuari ya asili aliyokuwepo na maji aliyokua anamwagiwa sikutegemea kama angekua hai.
Kiboko kabisa
Hahahahah daaaaah mkuu umeua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We hutaki kujua?Sasa wale wanaotaka kujua mtu akifa anaenda wapi, pigeni kambi Masasi...
Uku Afrika wengi Sana wanazikwa wakiwa bado haiNani alithibitisha kitaalamu kwamba mtu yule alikua amekufa
Mtu anazikwa akiwa bado hai,Mi ndio maana sipendi mambo ya kuzika harakaharaka
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]