Masasi: Waziri Bashe aagiza diwani wa CCM kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kutafuna fedha za wakulima milioni 139

Masasi: Waziri Bashe aagiza diwani wa CCM kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kutafuna fedha za wakulima milioni 139

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Hongera Waziri Bashe.Hakuna kuchekeana Wala kuoneana huruma kwa mafisadi wote bila kujalisha hadhi Yao.

My Take: Wakulima ungeni mkono juhudi za Waziri Bashe kupambana kuinua Kilimo.

Kazi iendelee,ajenda 10/30.

---------------

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa agizo la kushikiliwa kwa diwani wa Chiwale (CCM), wilayani Masasi, Yusuph Mataula ili kusaidia uchunguzi katika sakata la ubadhirifu wa shilingi milioni 139.

Waziri Bashe ametoa maagizo hayo wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Chiwale wilayani Masasi, Mtwara, baada ya kusikiliza kero mbalimbali zinazoathiri maendeleo ya kilimo katika kijiji hicho.

Katika mkutano huo, Bashe alifahamishwa kuwa baadhi ya wakulima wa korosho ambao ni wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa AMCOS hawakulipwa kiasi cha shilingi milioni 139 katika msimu wa 2016/17 hatua iliyosababisha mali za AMCOS hiyo ikiwemo trekta na lori kupigwa mnada kwa amri ya mahakama.

Pia, soma: Naibu Waziri Bashe aagiza TAKUKURU kuanza uchunguzi upotevu wa milioni 150 za AMCOS ya Chabuma
 
Enyi wizara ya madalari wa wakulima

Hivi kwanini msiwa ruhusu watu wauze mazao yao kwenye masoko yao wanayo yataka wao?
Kabla walikuwa wanauza huko na Kilio kikawa kikubwa Cha kulaliwa na madalali ndio Serikali ikaingilia kati Sasa hivi wananunua Kwa Mnada kulingana na bei ya soko la Dunia.

So punguza ujinga
 
Kabla walikuwa wanauza huko na Kilio kikawa kikubwa Cha kulaliwa na madalali ndio Serikali ikaingilia kati Sasa hivi wananunua Kwa Mnada kulingana na bei ya soko la Dunia.

So punguza ujinga
Je Wana nunua kwa cash au kwa mkopo?
 
Kama ingekuwa cash huyo diwani asinge daiwa chakwanza

Pili unakumbuka issue ya korosho za mtwara he watu walipewa cash?

Tukiachana na korosho umewai kupeleka mahindi n.f.r.a? Je ulilipwa cash au ulisubiri?

Na kwanini huwa una subilishwa kwanza?
Serikali sio madalali kwamba wanatembea na pesa kwenye mabegi.

Unapima mzigo subiria pesa kwenye account not more than 2 weeks na Sasa Serikali imesema pesa hazitapitia kwenye Vyama vya ushirika vya kati utaenda Moja kwa Moja.

Hutaki uza bei chee Kwa madalali ambao wakinunua nao wanakuja kuuza Kwa wanunuzi wa Mnada wa Serikali.
 
Hongera Waziri Bashe.Hakuna kuchekeana Wala kuoneana huruma kwa mafisadi wote bila kujalisha hadhi Yao.

My Take: Wakulima ungeni mkono juhudi za Waziri Bashe kupambana kuinua Kilimo.

Kazi iendelee,ajenda 10/30.

---------------

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa agizo la kushikiliwa kwa diwani wa Chiwale (CCM), wilayani Masasi, Yusuph Mataula ili kusaidia uchunguzi katika sakata la ubadhirifu wa shilingi milioni 139.

Waziri Bashe ametoa maagizo hayo wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Chiwale wilayani Masasi, Mtwara, baada ya kusikiliza kero mbalimbali zinazoathiri maendeleo ya kilimo katika kijiji hicho.

Katika mkutano huo, Bashe alifahamishwa kuwa baadhi ya wakulima wa korosho ambao ni wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa AMCOS hawakulipwa kiasi cha shilingi milioni 139 katika msimu wa 2016/17 hatua iliyosababisha mali za AMCOS hiyo ikiwemo trekta na lori kupigwa mnada kwa amri ya mahakama.

Pia, soma: Naibu Waziri Bashe aagiza TAKUKURU kuanza uchunguzi upotevu wa milioni 150 za AMCOS ya Chabuma
Yeye pia si msafi wa kufikia kuamrisha wenzie wakamatwe!
 
Hongera Waziri Bashe.Hakuna kuchekeana Wala kuoneana huruma kwa mafisadi wote bila kujalisha hadhi Yao.

My Take: Wakulima ungeni mkono juhudi za Waziri Bashe kupambana kuinua Kilimo.

Kazi iendelee,ajenda 10/30.

---------------

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa agizo la kushikiliwa kwa diwani wa Chiwale (CCM), wilayani Masasi, Yusuph Mataula ili kusaidia uchunguzi katika sakata la ubadhirifu wa shilingi milioni 139.

Waziri Bashe ametoa maagizo hayo wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Chiwale wilayani Masasi, Mtwara, baada ya kusikiliza kero mbalimbali zinazoathiri maendeleo ya kilimo katika kijiji hicho.

Katika mkutano huo, Bashe alifahamishwa kuwa baadhi ya wakulima wa korosho ambao ni wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa AMCOS hawakulipwa kiasi cha shilingi milioni 139 katika msimu wa 2016/17 hatua iliyosababisha mali za AMCOS hiyo ikiwemo trekta na lori kupigwa mnada kwa amri ya mahakama.

Pia, soma: Naibu Waziri Bashe aagiza TAKUKURU kuanza uchunguzi upotevu wa milioni 150 za AMCOS ya Chabuma
Si kila mmoja karuhusiwa kula kwa urefu wa kamba yake! Vp tena huyu
 
Back
Top Bottom