Muda wake ushapita aliwahi kurudi na kibao cha welcome back lakini haikuchukua round akapotea na this time atapotea tuNdugu wana JF
Habari zenu wakuu, nimepotea kitambo kwa threads zangu za kuwashika vilivyo. Yule mkongwe wa game asiyekamatika na style yake ya kurap ambaye aliamua kuwa mchungaji, amerudi upya na kibao chake kipya cha nothing. Aiseee ni noma mbaya, nimeamua kumrusha kwani ndiye ninayemkubali sana toka enzi hizo.
Kufanya mziki kwa njaa na kutopotea kuna uhusiano gani?Hafanyi Muzik kwa njaa
mase hana lolote..ananong'ona tu mbele ya mic kama mumewe puffy dadyHafanyi Muzik kwa njaa