Taarifa kutoka Mwanza inasemekana kuwa Masha kakimbia Mji halafu katoa taarifa kuwa yuko Bugando Kama vipi wampelekee hayo makaburasha na asign huko huko, pia kwa taarfa zisizo rasmi kwamba Masha kakibilia DAR au kaja kusafisha safisha meza yake maaana Meli yake imesha zama kabisa.
hahahahaha mpenwa umeua vibaya mpendwadahWUMUWEKEE DRIP LA BANGI LIMPOTEZEE MAWAZO.:hippie:
Hatimaye kwa msaada wa EL batilda kapewa jimbo kwa 71% tetesi iliyo tokea ndani ila bado hawajatangaza mpka sasa.
Je huku kwetu Mwanza itakuwa kama huko Arusha ilivyokuwa au?? Nani kuja kuokoa jahazi la CCM nyamagana na Ilemela
Akafanye biashara siyo lazima hawe mwanasiasa!
Ok, sasa yale machafuko yaliyo tabiriwa yaja. Hakuna atakaye kubaliana na ushenzi kama huu. Hata wao hawatapona na wasidhani wanyonge ndio watakao tiana ngeu wenyewe kwa wenyewe. Naomba isiwe hivyoHatimaye kwa msaada wa EL batilda kapewa jimbo kwa 71% tetesi iliyo tokea ndani ila bado hawajatangaza mpka sasa.
Je huku kwetu Mwanza itakuwa kama huko Arusha ilivyokuwa au?? Nani kuja kuokoa jahazi la CCM nyamagana na Ilemela
Wote waliopita wapya itabidi tuwape miaka mitano ya kuweka mambo yao sawa kisha watakuja kuomba miaka mingine DALA ya utekelezaji halafu wataomba mingine FIVE ya kuimarisha hayo yanayoitwa maendeleo,Watz mnashangilia nini tuulizeni wenzenu? CHANGING GORVERNMENT IS VERY EXPENSIVE U REAL DON'T KNOW DON'T BE FASTER U WILL REGRETE WITH YOUR CHOICE AND DISSAPPOINT THEM,KEEP IT IN YOU MIND YOU WILL TELL ME AFTER TWO YRS. CRYING NOT LAUGHING.:A S-baby: OR 😛eep: ALWAYS.
Na kumbuka kipindi yupo Marekani alikuwa na kagari kake alikuwa amekiandika "kidudu" sikumbuki kama alikuja naki Bongo...Muda si muda ataenda Marekani alikogundumuliwa na boss wake Jk.
wao wao ndo wanasema watu wakubali na kuyapokea matokeo kwa nini agome na anajua hatumpendi hata kidogo
masha hebu saini hayo matokeo utuondokee na mradi wako wa Vitambulisho..nakuchukia wewe na issue uliyomfanyia mtoto wa mwenye ferry ya kamanga .
Na ushindwe kwa jina la Yesu..
Na huyu Shekhe Yahaya achukuliwe hatua za unajimu feki