Masha Lawrence yu wapi wadau?

Mwacheni apumzike jamani kipigo kile hakikuwa cha kawaida na hakukitegemea
 

Attachments

  • wenje vs lau.jpg
    38.9 KB · Views: 68
cku hizi anakunywa bia hiltek kule banana anakwepa majungu ya mjini anavodai
 

Anaendelea kuzichota kupitia mikataba mibovu. Siku za karibuni kuna article itatoka mahala "Masha aendeleza ufisadi kama wakili kwa kusign mikataba mibovu" 10% anatengeneza kwa sana tu. Tz. bado tumelala amini msiamini. Msg.sent.
 
..yupo kwenye kampuni yake, anasubiri Ukuu wa Mkoa!ndo nchi yetu ilivyo!...
 
Chalii amekua mvuvi mvivu afu anakula ganja mbaya kabisa ntakutumia picha yake.
 
Wezi utawajua tu......baada ya kukosa ubunge kakaa kimya utadhani alikua mgombea binafsi.....hadi chama kakichukia.
 
Ana nyumba Dubai na Cape town na hotel zake huko! Ubunge ilikua ni kujitafutia tu uhalali wa kufanya mambo yake yaende vizuri kisiasa!
 
salender club.. ukimkosa nenda bustani ya rose
 
Choka mbaya,,,,,Amepanga kwa Mbunge wake wa jimbo la Nyamagana (Wenje),,,anajipanga kugombea u rais 2015:love::love::love::disapointed::help:
 
Wamekuwa marafiki na mshindwa mwenzie Anthony D. wako pamoko buhongwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…