Mbona haongelei chaguzi za Hangary,salovakia, Serbia ,Uholanzi ambazo mlengo wa kulia walishinda?Far rights wameangukia pua katika uchaguzi wa Hispania mwaka jana na chaguzi za Ufaransa na Uingereza mwaka huu.
Viktor Orban amekuwa kiongozi wa Hungary kwa takribani miaka 30 sasa, hakuna kipyaMbona haongelei chaguzi za Hangary,salovakia, Serbia ,Uholanzi ambazo mlengo wa kulia walishinda?
Hata hivyo pamoja na kutoshinda kwenye nchi hizo ulizo zitaja bado wamejizolea kula nyingi kuliko wakati wowote ule.
Tuitoe Hangary ,vip kuhusu hizo nchi nyingine?Viktor Orban amekuwa kiongozi wa Hungary kwa takribani miaka 30 sasa, hakuna kipya
Sasa huyo dikteta Putin alishindwa nini kujipa asilimia mia moja kabisa kwa nini alipunguza hizo zingine wakati Russia ni kama Tanzania tu hawanaga uchaguzi ila ni uhuni tu.Kwani ulaya ndo wanapiga kura ya kuchagua viongozi wa Urusi? Putin amechaguliwa na warusi zaidi ya 90% nyie wengine hayawahusu muhimu wananchi wake wanampenda na wanamkubali.
Serbia imefanyaje ? Unajua Rais na waziri mkuu wa Serbia wako madarakani tangu lini??Mbona haongelei chaguzi za Hangary,salovakia, Serbia ,Uholanzi ambazo mlengo wa kulia walishinda?
Hata hivyo pamoja na kutoshinda kwenye nchi hizo ulizo zitaja bado wamejizolea kula nyingi kuliko wakati wowote ule.
Kwani Angella Markel alikaa madarakani miaka mingapi kama Councillor wa Ujerumani??Democracy ni makubaliano na maamuzi ya wengi namna mambo yao yaende..hata wakiamua kumuweka mtu madarakani 30 years kama utaratibu wao unaruhusu hakuna tatizo.Serbia imefanyaje ? Unajua Rais na waziri mkuu wa Serbia wako madarakani tangu lini??
Huyo jamaa ni mpumbavu achana naye.Yeye democracy haiwezi kuitafrisi Kwa watu na tamaduni ila ana chukua tafsiri za wengine.Kwani Angella Markel alikaa madarakani miaka mingapi kama Councillor wa Ujerumani??Democracy ni makubaliano na maamuzi ya wengi namna mambo yao yaende..hata wakiamua kumuweka mtu madarakani 30 years kama utaratibu wao unaruhusu hakuna tatizo.
Uingereza pale mbona kuna ka - kikundi familia ya kifalme wanakula bata milele...na katiba yao inaruhusu- wananchi wamekubali..wewe unafikiri ni haki familia moja ile keki ya taifa milele??
Pole sana mkuu YodaMojawapo ya mafunzo makubwa kabisa katika chaguzi za karibuni za Ulaya ni kwamba kwa raia wengi wa bara hilo Urusi bado sio nchi muhimu kwao na haina uwezo wa kushawishi kupendwa ndani ya nchi nyingi za Ulaya kama viongozi wake walevi na mashabiki wake wengi walivyokuwa wanajiaminisha.
Wakati uvamaizi wa Urusi huko Ukraine unaanza viongozi walevi wa Urusi na wafuasi wake walizilaani sana serikali za nchi za Magharibi na hasa za Ulaya kwa kuiwekea vikwazo na kuitenga huku wakiamini matokeo yatakuwa kwa serikali za nchi hiyo kupoteza madaraka kwa viongozi wapya wenye mahaba au kuegemea Urusi.
Ni kweli tangu vita hiyo ianze kumekuwepo na mabadiliko makubwa ya uongozi Ulaya katika nchi za Italia, Hispania, Uingereza na Ufaransa lakini kwa raia kuziingiza madarakani serikali na viongozi ambao wako hasi na wenye msimamo mkali zaidi dhidi ya Urusi kuliko wale wa awali.
Hata huko Marekani suala kubwa kwenye uchaguzi wa nchi hiyo sio Marekani kuiunga mkono Ukraine dhidi ya Urusi bali umri wa Biden na skendo za Trump.
Ni wakati wa Urusi na wafuasi wake kukubali tu kwamba kutokubalika kwa Urusi ulaya sio suala la propaganda au MSM kama walivyokuwa wanajiaminisha bali ni uhalisia.
Uzi unahusiana na serikali za nchi za Ulaya kubadilishwa na raia wake na kuwekwa ambazo ni Pro-Russia tangu uvamizi uanze sasa wewe unapouliza viongozi wa serikali ya Serbia ambao wako madarakani kwa zaidi ya miaka 10 unakuwa hujielewi.Kwani Angella Markel alikaa madarakani miaka mingapi kama Councillor wa Ujerumani??Democracy ni makubaliano na maamuzi ya wengi namna mambo yao yaende..hata wakiamua kumuweka mtu madarakani 30 years kama utaratibu wao unaruhusu hakuna tatizo.
Uingereza pale mbona kuna ka - kikundi familia ya kifalme wanakula bata milele...na katiba yao inaruhusu- wananchi wamekubali..wewe unafikiri ni haki familia moja ile keki ya taifa milele??
Hamia marekani kwenye uchaguzi wa haki kwani lazima uishi Tanzania au urusi?Sasa huyo dikteta Putin alishindwa nini kujipa asilimia mia moja kabisa kwa nini alipunguza hizo zingine wakati Russia ni kama Tanzania tu hawanaga uchaguzi ila ni uhuni tu.
Huna hoja.Hamia marekani kwenye uchaguzi wa haki kwani lazima uishi Tanzania au urusi?
Umeelezea vizur xnaa mkuuKilio Ulaya sio Urusi hata kidogo. Wewe unatengeneza narrative zako kwa vitu usivyopenda na unavyopenda kusikia - uko BIASED.
Vyama vya Ulaya vinapambana na suala la wakimbizi hasa kutoka nchi za kiislamu..Hata wakina Le Pen, Orban na wengine wenye mlengo huo ndo issue hiyo - make Europe European (culture n.k).Suala la Urusi linakuja kwa sababu kuna kuna kundi la wanasiasa wanataka amani Europe sio SABABU WANAMPENDA au KUMCHUKIA URUSI- gharama za maisha zimepanda - sababu ya sanctions waliwekeana hasa kwenye mafuta n.k (Germany)....Kupeleka pesa nyingi Ukraine wakati kuna wananchi wao wanashida n.k Hizi ndo baadhi ya mambo zinazoingiza suala la Urusi (Vita vya Urusi Ukraine)..ni athari wanazopata...LKN sio kitu cha moja kwa moja kuwa et wanampenda Urusi au wana- interest na Urusi..watu wanamasirahi yao binafsi.
Kwa hio Kura yako moja uliyompa lisu na lowasa ndio ulitaka iwape ushindi? Kwan ww una Kura ya veto ?Sasa huyo dikteta Putin alishindwa nini kujipa asilimia mia moja kabisa kwa nini alipunguza hizo zingine wakati Russia ni kama Tanzania tu hawanaga uchaguzi ila ni uhuni tu.
Kwa tume ipi inayomilikiwa na wagombea walewale, yaani Simba na Yanga eti wanaenda kucheza halafu refa anatakiwa awe aidha Mo au Hersi sasa hiyo mechi itachezwa kweli..!!Kwa hio Kura yako moja uliyompa lisu na lowasa ndio ulitaka iwape ushindi? Kwan ww una Kura ya veto ?
Kwenye Kura kila mtu anamchagua mtu anayeona anafaa
lee Vladimir cleefMojawapo ya mafunzo makubwa kabisa katika chaguzi za karibuni za Ulaya ni kwamba kwa raia wengi wa bara hilo Urusi bado sio nchi muhimu kwao na haina uwezo wa kushawishi kupendwa ndani ya nchi nyingi za Ulaya kama viongozi wake walevi na mashabiki wake wengi walivyokuwa wanajiaminisha.
Wakati uvamaizi wa Urusi huko Ukraine unaanza viongozi walevi wa Urusi na wafuasi wake walizilaani sana serikali za nchi za Magharibi na hasa za Ulaya kwa kuiwekea vikwazo na kuitenga huku wakiamini matokeo yatakuwa kwa serikali za nchi hiyo kupoteza madaraka kwa viongozi wapya wenye mahaba au kuegemea Urusi.
Ni kweli tangu vita hiyo ianze kumekuwepo na mabadiliko makubwa ya uongozi Ulaya katika nchi za Italia, Hispania, Uingereza na Ufaransa lakini kwa raia kuziingiza madarakani serikali na viongozi ambao wako hasi na wenye msimamo mkali zaidi dhidi ya Urusi kuliko wale wa awali.
Hata huko Marekani suala kubwa kwenye uchaguzi wa nchi hiyo sio Marekani kuiunga mkono Ukraine dhidi ya Urusi bali umri wa Biden na skendo za Trump.
Ni wakati wa Urusi na wafuasi wake kukubali tu kwamba kutokubalika kwa Urusi ulaya sio suala la propaganda au MSM kama walivyokuwa wanajiaminisha bali ni uhalisia.
Sio kwamba wanaikubali urusi,bali wanaogopa vita ya nyuklia ambayo huwa haina mshindi,wewe ukipiga 10,mwenzio akapiga moja,wote mnapoteza..Mojawapo ya mafunzo makubwa kabisa katika chaguzi za karibuni za Ulaya ni kwamba kwa raia wengi wa bara hilo Urusi bado sio nchi muhimu kwao na haina uwezo wa kushawishi kupendwa ndani ya nchi nyingi za Ulaya kama viongozi wake walevi na mashabiki wake wengi walivyokuwa wanajiaminisha.
Wakati uvamaizi wa Urusi huko Ukraine unaanza viongozi walevi wa Urusi na wafuasi wake walizilaani sana serikali za nchi za Magharibi na hasa za Ulaya kwa kuiwekea vikwazo na kuitenga huku wakiamini matokeo yatakuwa kwa serikali za nchi hiyo kupoteza madaraka kwa viongozi wapya wenye mahaba au kuegemea Urusi.
Ni kweli tangu vita hiyo ianze kumekuwepo na mabadiliko makubwa ya uongozi Ulaya katika nchi za Italia, Hispania, Uingereza na Ufaransa lakini kwa raia kuziingiza madarakani serikali na viongozi ambao wako hasi na wenye msimamo mkali zaidi dhidi ya Urusi kuliko wale wa awali.
Hata huko Marekani suala kubwa kwenye uchaguzi wa nchi hiyo sio Marekani kuiunga mkono Ukraine dhidi ya Urusi bali umri wa Biden na skendo za Trump.
Ni wakati wa Urusi na wafuasi wake kukubali tu kwamba kutokubalika kwa Urusi ulaya sio suala la propaganda au MSM kama walivyokuwa wanajiaminisha bali ni uhalisia.