Mashabaki na wafuasi wa Urusi wanazidi kushuhudia uongo wao wa kupendwa na raia wengi Ulaya

Far rights wameangukia pua katika uchaguzi wa Hispania mwaka jana na chaguzi za Ufaransa na Uingereza mwaka huu.
Mbona haongelei chaguzi za Hangary,salovakia, Serbia ,Uholanzi ambazo mlengo wa kulia walishinda?
Hata hivyo pamoja na kutoshinda kwenye nchi hizo ulizo zitaja bado wamejizolea kula nyingi kuliko wakati wowote ule.
 
Mbona haongelei chaguzi za Hangary,salovakia, Serbia ,Uholanzi ambazo mlengo wa kulia walishinda?
Hata hivyo pamoja na kutoshinda kwenye nchi hizo ulizo zitaja bado wamejizolea kula nyingi kuliko wakati wowote ule.
Viktor Orban amekuwa kiongozi wa Hungary kwa takribani miaka 30 sasa, hakuna kipya
 
Viktor Orban amekuwa kiongozi wa Hungary kwa takribani miaka 30 sasa, hakuna kipya
Tuitoe Hangary ,vip kuhusu hizo nchi nyingine?
Muungano wa vyama cha mlengo wa kulia nchini Ufaransa miaka ya nyuma vilikuwa vinapata kula chini ya 15 %lakini uchaguzi huu wamepata 46% huoni kuwa hayo ni mabadiliko makubwa.
 
Kwani ulaya ndo wanapiga kura ya kuchagua viongozi wa Urusi? Putin amechaguliwa na warusi zaidi ya 90% nyie wengine hayawahusu muhimu wananchi wake wanampenda na wanamkubali.
Sasa huyo dikteta Putin alishindwa nini kujipa asilimia mia moja kabisa kwa nini alipunguza hizo zingine wakati Russia ni kama Tanzania tu hawanaga uchaguzi ila ni uhuni tu.
 
Mbona haongelei chaguzi za Hangary,salovakia, Serbia ,Uholanzi ambazo mlengo wa kulia walishinda?
Hata hivyo pamoja na kutoshinda kwenye nchi hizo ulizo zitaja bado wamejizolea kula nyingi kuliko wakati wowote ule.
Serbia imefanyaje ? Unajua Rais na waziri mkuu wa Serbia wako madarakani tangu lini??
 
Kilio Ulaya sio Urusi hata kidogo. Wewe unatengeneza narrative zako kwa vitu usivyopenda na unavyopenda kusikia - uko BIASED.
Vyama vya Ulaya vinapambana na suala la wakimbizi hasa kutoka nchi za kiislamu..Hata wakina Le Pen, Orban na wengine wenye mlengo huo ndo issue hiyo - make Europe European (culture n.k).Suala la Urusi linakuja kwa sababu kuna kuna kundi la wanasiasa wanataka amani Europe sio SABABU WANAMPENDA au KUMCHUKIA URUSI- gharama za maisha zimepanda - sababu ya sanctions waliwekeana hasa kwenye mafuta n.k (Germany)....Kupeleka pesa nyingi Ukraine wakati kuna wananchi wao wanashida n.k Hizi ndo baadhi ya mambo zinazoingiza suala la Urusi (Vita vya Urusi Ukraine)..ni athari wanazopata...LKN sio kitu cha moja kwa moja kuwa et wanampenda Urusi au wana- interest na Urusi..watu wanamasirahi yao binafsi.
 
Serbia imefanyaje ? Unajua Rais na waziri mkuu wa Serbia wako madarakani tangu lini??
Kwani Angella Markel alikaa madarakani miaka mingapi kama Councillor wa Ujerumani??Democracy ni makubaliano na maamuzi ya wengi namna mambo yao yaende..hata wakiamua kumuweka mtu madarakani 30 years kama utaratibu wao unaruhusu hakuna tatizo.
Uingereza pale mbona kuna ka - kikundi familia ya kifalme wanakula bata milele...na katiba yao inaruhusu- wananchi wamekubali..wewe unafikiri ni haki familia moja ile keki ya taifa milele??
 
Huyo jamaa ni mpumbavu achana naye.Yeye democracy haiwezi kuitafrisi Kwa watu na tamaduni ila ana chukua tafsiri za wengine.
Ona unafiki rais zelensky amemaliza muhula wake ila bado yupo madarakani hadi leo kinyume na katiba yao ila haitwi dikteta
 
Pole sana mkuu Yoda
Huu sio uandishi wako niliouzoea. Hili bandiko linaonesha ni jinsi gani uliyotarajia yamekuwa sivyo ndivyo.
Hii Op inavyozidi kusonga mbele kunauwezekano tukakupoteza kabisa humu au ukaja na ID nyingine.
Ni muda sasa wakujifunza ukakamavu kama wa mwenzio KIPANYA
 
Uzi unahusiana na serikali za nchi za Ulaya kubadilishwa na raia wake na kuwekwa ambazo ni Pro-Russia tangu uvamizi uanze sasa wewe unapouliza viongozi wa serikali ya Serbia ambao wako madarakani kwa zaidi ya miaka 10 unakuwa hujielewi.
 
Sasa huyo dikteta Putin alishindwa nini kujipa asilimia mia moja kabisa kwa nini alipunguza hizo zingine wakati Russia ni kama Tanzania tu hawanaga uchaguzi ila ni uhuni tu.
Hamia marekani kwenye uchaguzi wa haki kwani lazima uishi Tanzania au urusi?
 
Umeelezea vizur xnaa mkuu
Kwan watu ni wajinga afu hawajui kua ni wajinga
 
Sasa huyo dikteta Putin alishindwa nini kujipa asilimia mia moja kabisa kwa nini alipunguza hizo zingine wakati Russia ni kama Tanzania tu hawanaga uchaguzi ila ni uhuni tu.
Kwa hio Kura yako moja uliyompa lisu na lowasa ndio ulitaka iwape ushindi? Kwan ww una Kura ya veto ?
Kwenye Kura kila mtu anamchagua mtu anayeona anafaa
 
Kwa hio Kura yako moja uliyompa lisu na lowasa ndio ulitaka iwape ushindi? Kwan ww una Kura ya veto ?
Kwenye Kura kila mtu anamchagua mtu anayeona anafaa
Kwa tume ipi inayomilikiwa na wagombea walewale, yaani Simba na Yanga eti wanaenda kucheza halafu refa anatakiwa awe aidha Mo au Hersi sasa hiyo mechi itachezwa kweli..!!

It's the same scenario facing the Tanzanian election making the whole election to be nothing but a hoax.
 
lee Vladimir cleef
 
Sio kwamba wanaikubali urusi,bali wanaogopa vita ya nyuklia ambayo huwa haina mshindi,wewe ukipiga 10,mwenzio akapiga moja,wote mnapoteza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…