Mashabiki 94,000 Washuhudia Fury Akimpiga Whyte Kwa TKO

Mashabiki 94,000 Washuhudia Fury Akimpiga Whyte Kwa TKO

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Capture.JPG

Capture.JPG

Bondia Tyson Fury amefanikiwa kutetea Mkanda wa WBC The Ring baada ya kumpiga Dillian Whyte kwa TKO katika raundi ya sita ya pambano lao la usito wa juu usiku wa kuamkia leo Aprili 24, 2022.

Mashabiki 94,000 waliweka rekodi ya kuujaza Uwanja wa Wembley Jijini London kushuhudia Mwingereza huyo akiutawala mchezo huo kwa raundi nyingi kabla ya kushinda.

Kwa ushindi huo, Fury sasa amepigana mapambano 33, ameshinda 32, ushindi wa KO (23), sare 1 na hajapoteza pambano lolote.


Source: DailMail
 
Mmmh huyo jamaa si alipigwa na Deontay Wilder pambano la kwanza? Kabla ya rematch ya na pambano la tatu? Kwanini useme hajawahi kupigwa?
 
Back
Top Bottom