Mashabiki lia lia wa Tanzania ndo wanaharibu mpira

Mashabiki lia lia wa Tanzania ndo wanaharibu mpira

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Mfano mdogo tu, mashabiki wa Yanga wiki tatu zilizopita kabla ya kufuzu confederation cup walikuwa tayari wameshamkataa Nabi, na wengi wao walikuwa tayari Nabi angefukuzwa just kama angeshindwa kufuzi.

Leo hii Yanga imefuzi wametulia kabisa wanafurahia pia na matokeo wanayopata sasa, hawana shida tena na kocha.. 'Kocha mzuri kabisa'

Upuuzi wa hali ya juu

Ukija kwa Simba na Mgunda ... mpaka sasa Mgunda ana 100% win rate kwenye champions league.

Kwenye league ya ndani.. baada ya kufungwa na Azam na kutoa draw kama mechi 2 basi tayari anaonekana hafai. Huu ni ujinga wa hali ya juu.

Technically kwa mtu unayejua mpira, ukiiangalia Simba ya Mgunda kwa sasahivi inacheza mpira ambao unaonekana ni wa mipango. Angalia pia kwenye mechi ya Yanga, performance ilikuwa ni nzuri.

Mashabiki nyie ndo waharibifu wa mpira Tanzania. Simba na Yanga zipo vizuri kwa sasa na pia ligi yetu imekuwa ni ya ushindani sana. Ikitokea Yanga au Simba anapata sare au hata kufungwa sio kwamba eti ndo kocha afukuzwe.

Na kama viongozi wakiingia kwenye mtego wa kuridhisha hisia za mashabiki kila mara timu ikikosa matokeo, watajikuta wanaharibu zaidi kuliko kujenga.

Mbona hata Man City anafungwa na vitimu vya ajabu saa nyingine na hausikii mashabiki wanataka kocha afukuzwe....

Mashabiki lia lia wa Tanzania mnakera sana
 
Sina uhakika na hilo....ila nnachojua mm walikuwa MAKOLO na mpango wao OVU...by the way kuna mashabiki maandazi pia.
Usibishe sana mkuu... tupo na mashabiki wa Yanga mitaani.. wiki tatu zilizopita wengi walishamkataa Nabi.. ipo wazi
 
Namuona Mtu Hana Akili akiwa anapenda hivi vitu
yanga
simba
ccm
diamond
alikiba
harmonize

ni watu watu wapumbavu zero brain ndo wanashabikia Upumbavu Kama huu
 
Sio mashabiki tu hata wale tunaowaita wachambuzi wamekua wafwata mkumbo kutoa hukumu bila kujipa mda kujiridhisha.
 
Namuona Mtu Hana Akili akiwa anapenda hivi vitu
yanga
simba
ccm
diamond
alikiba
harmonize

ni watu watu wapumbavu zero brain ndo wanashabikia Upumbavu Kama huu
Nimekuelewa sana...unachosema ni kweli
 
Mfano mdogo tu, mashabiki wa Yanga wiki tatu zilizopita kabla ya kufuzu confederation cup walikuwa tayari wameshamkataa Nabi, na wengi wao walikuwa tayari Nabi angefukuzwa just kama angeshindwa kufuzi.

Leo hii Yanga imefuzi wametulia kabisa wanafurahia pia na matokeo wanayopata sasa, hawana shida tena na kocha.. 'Kocha mzuri kabisa'

Upuuzi wa hali ya juu

Ukija kwa Simba na Mgunda ... mpaka sasa Mgunda ana 100% win rate kwenye champions league.

Kwenye league ya ndani.. baada ya kufungwa na Azam na kutoa draw kama mechi 2 basi tayari anaonekana hafai. Huu ni ujinga wa hali ya juu.

Technically kwa mtu unayejua mpira, ukiiangalia Simba ya Mgunda kwa sasahivi inacheza mpira ambao unaonekana ni wa mipango. Angalia pia kwenye mechi ya Yanga, performance ilikuwa ni nzuri.

Mashabiki nyie ndo waharibifu wa mpira Tanzania. Simba na Yanga zipo vizuri kwa sasa na pia ligi yetu imekuwa ni ya ushindani sana. Ikitokea Yanga au Simba anapata sare au hata kufungwa sio kwamba eti ndo kocha afukuzwe.

Na kama viongozi wakiingia kwenye mtego wa kuridhisha hisia za mashabiki kila mara timu ikikosa matokeo, watajikuta wanaharibu zaidi kuliko kujenga.

Mbona hata Man City anafungwa na vitimu vya ajabu saa nyingine na hausikii mashabiki wanataka kocha afukuzwe....

Mashabiki lia lia wa Tanzania mnakera sana
Naunga mkono hoja.
Soccer letu lina changamoto nyingi sana, moja ya changamoto hizo ni mashabiki, waamuzi na viongozi wa chama cha soccer.

Kwa upande wa wachezaji aghalabu wanaanza kubadilika.
 
Naunga mkono hoja.
Soccer letu lina changamoto nyingi sana, moja ya changamoto hizo ni mashabiki, waamuzi na viongozi wa chama cha soccer.

Kwa upande wa wachezaji aghalabu wanaanza kubadilika.
Kabisa mkuu.. hapo kwenye waamuzi pia kunajitaji mabadiliko
 
Namuona Mtu Hana Akili akiwa anapenda hivi vitu
yanga
simba
ccm
diamond
alikiba
harmonize

ni watu watu wapumbavu zero brain ndo wanashabikia Upumbavu Kama huu
Umefata nini kwenye hili jukwaa?
Na wewe tukuite mpumbavu?
 
Tatizo online TV zimekuwa nyingi zimekuwa zinahoji watu wa ovyoovyo ambao wanapenda umaarufu.
 
Namuona Mtu Hana Akili akiwa anapenda hivi vitu
yanga
simba
ccm
diamond
alikiba
harmonize

ni watu watu wapumbavu zero brain ndo wanashabikia Upumbavu Kama huu
wewe una shabikia nini kiweke hadharani nikuoneshe watu mamia watakao kuona wewe ni mpumbavu gredi 1
 
Back
Top Bottom