Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Ni wazi kwamba mashabiki na wanachama wa simba wameweka matumaini makubwa kwa Kuisifia Al hilal jinsi itakavyomtoa yanga na wanakwenda mbali zaidi kuapa ya kwamba ndo mwisho wa yanga awatoboi, lakini nafikiri wasichokijua hii ni yanga ambayo aijaingia kwenye hii michuano kwa kubahatisha, yanga imeingia ikiwa imefanya usajili bora, yanga imeingia ikiwa imejipanga ipasavyo ndani ya uwanja na nje ya uwanja.
Yanga imeingia ikiwa inacheza kitimu zaidi inao muunganiko ambao inaweza kucheza mpira na kupata matokeo kwenye uwanja wowote ule aijalishi anacheza nyumbani ama ugenini, Inae kocha makini na bora kwenye mambo ya kiufundi, imejipanga kiuchumi na fitna zote inazijua, kwaiyo anayejidanganya kwa yaliyokuwa yanatokea nyuma akafikiria yatatokea tena safari hii atalia na kusaga meno maana wengi wanafikilia kila siku ni jumapili kwamba yaliyotokea uko nyuma ndo yale yale yataendelea kutokea na ndio maana mashabiki wa simba wanajua ya kuwa Al hilal itaitoa yanga kirahisi rahisi tu.
Muda ni suala nyeti sana na majibu yatapatikana trh 8/10/2022
Yanga imeingia ikiwa inacheza kitimu zaidi inao muunganiko ambao inaweza kucheza mpira na kupata matokeo kwenye uwanja wowote ule aijalishi anacheza nyumbani ama ugenini, Inae kocha makini na bora kwenye mambo ya kiufundi, imejipanga kiuchumi na fitna zote inazijua, kwaiyo anayejidanganya kwa yaliyokuwa yanatokea nyuma akafikiria yatatokea tena safari hii atalia na kusaga meno maana wengi wanafikilia kila siku ni jumapili kwamba yaliyotokea uko nyuma ndo yale yale yataendelea kutokea na ndio maana mashabiki wa simba wanajua ya kuwa Al hilal itaitoa yanga kirahisi rahisi tu.
Muda ni suala nyeti sana na majibu yatapatikana trh 8/10/2022