Mashabiki njaa acheni ujinga

Mashabiki njaa acheni ujinga

Baba Kisarii

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2024
Posts
1,844
Reaction score
3,089
Hao mashabiki huibuka muda wowote pale wanapotupiwa jero ya maji na wanatesa mjini kwa sababu ya ujinga wa wajinga hao.

Hao wajinga utawakuta msimbazi ila kwa wingi wao wapo pale jangwani.

Wamejaa ujinga mtupu, kwa sasa wako na ujinga wa kijinga kukomalia kuchamba neno Sanda lililopo kwenye jezi mpya ya Simba.

Mbaya zaidi hao wachambaji wajinga wanachamba neno Sanda huku wakiwa wamevaa jezi zilizoandikwa neno Fila 😁, na wamezivaa miaka nenda rudi, tangu utotoni hadi leo wamekuwa wazee(sijui kama wamewahi kufanyiwa kitendo kama hicho)

Ninajiuliza hawa mashabiki njaa waliokosa afya ya akili ni zao la nani na wataacha lini ujinga. Bado sijapata jibu.

#Ubaya Ubwela
 
Ubaya ubwela mleta mada....😃😃😃
Sanda ni jina la huyo mtoa jezi...jina lake halisi kabisa..labda wahoji why aandike Sanda his name..na sio sandaland la biashara...
Otherwise Jezi tunayo tunatamba nayo...
Jezi ni kali kinyamaa..yani unyamaa ni mwingi...
#Ubayaaa ubwelaaa#
 
Ubaya ubwela mleta mada....😃😃😃
Sanda ni jina la huyo mtoa jezi...jina lake halisi kabisa..labda wahoji why aandike Sanda his name..na sio sandaland la biashara...
Otherwise Jezi tunayo tunatamba nayo...
Jezi ni kali kinyamaa..yani unyamaa ni mwingi...
#Ubayaaa ubwelaaa#
Ubaya Ubwela
 
Ubaya ubwela mleta mada....😃😃😃
Sanda ni jina la huyo mtoa jezi...jina lake halisi kabisa..labda wahoji why aandike Sanda his name..na sio sandaland la biashara...
Otherwise Jezi tunayo tunatamba nayo...
Jezi ni kali kinyamaa..yani unyamaa ni mwingi...
#Ubayaaa ubwelaaa#
Kwanini sasa kwenye Simba iandikwe 5imba? Na kwanini jezi iwe na matokeo ya ya mechi ya November 5 ( 1-5)
 
Ubaya ubwela mleta mada....😃😃😃
Sanda ni jina la huyo mtoa jezi...jina lake halisi kabisa..labda wahoji why aandike Sanda his name..na sio sandaland la biashara...
Otherwise Jezi tunayo tunatamba nayo...
Jezi ni kali kinyamaa..yani unyamaa ni mwingi...
#Ubayaaa ubwelaaa#
Mo ni kifupi cha mlio wa ng'ombe
Sanda tutawazika nazo
 
Hao mashabiki huibuka muda wowote pale wanapotupiwa jero ya maji na wanatesa mjini kwa sababu ya ujinga wa wajinga hao.

Hao wajinga utawakuta msimbazi ila kwa wingi wao wapo pale jangwani.

Wamejaa ujinga mtupu, kwa sasa wako na ujinga wa kijinga kukomalia kuchamba neno Sanda lililopo kwenye jezi mpya ya Simba.

Mbaya zaidi hao wachambaji wajinga wanachamba neno Sanda huku wakiwa wamevaa jezi zilizoandikwa neno Fila [emoji16], na wamezivaa miaka nenda rudi, tangu utotoni hadi leo wamekuwa wazee(sijui kama wamewahi kufanyiwa kitendo kama hicho)

Ninajiuliza hawa mashabiki njaa waliokosa afya ya akili ni zao la nani na wataacha lini ujinga. Bado sijapata jibu.

#Ubaya Ubwela
Kwanza kampuni inaitwa fila na kitendo ni fira. Huoni tofauti hapo?
 
Hao mashabiki huibuka muda wowote pale wanapotupiwa jero ya maji na wanatesa mjini kwa sababu ya ujinga wa wajinga hao.

Hao wajinga utawakuta msimbazi ila kwa wingi wao wapo pale jangwani.

Wamejaa ujinga mtupu, kwa sasa wako na ujinga wa kijinga kukomalia kuchamba neno Sanda lililopo kwenye jezi mpya ya Simba.

Mbaya zaidi hao wachambaji wajinga wanachamba neno Sanda huku wakiwa wamevaa jezi zilizoandikwa neno Fila 😁, na wamezivaa miaka nenda rudi, tangu utotoni hadi leo wamekuwa wazee(sijui kama wamewahi kufanyiwa kitendo kama hicho)

Ninajiuliza hawa mashabiki njaa waliokosa afya ya akili ni zao la nani na wataacha lini ujinga. Bado sijapata jibu.

#Ubaya Ubwela
Kanye mbele toinyo wewe,ajuza wa kichina
 
Hao mashabiki huibuka muda wowote pale wanapotupiwa jero ya maji na wanatesa mjini kwa sababu ya ujinga wa wajinga hao.

Hao wajinga utawakuta msimbazi ila kwa wingi wao wapo pale jangwani.

Wamejaa ujinga mtupu, kwa sasa wako na ujinga wa kijinga kukomalia kuchamba neno Sanda lililopo kwenye jezi mpya ya Simba.

Mbaya zaidi hao wachambaji wajinga wanachamba neno Sanda huku wakiwa wamevaa jezi zilizoandikwa neno Fila 😁, na wamezivaa miaka nenda rudi, tangu utotoni hadi leo wamekuwa wazee(sijui kama wamewahi kufanyiwa kitendo kama hicho)

Ninajiuliza hawa mashabiki njaa waliokosa afya ya akili ni zao la nani na wataacha lini ujinga. Bado sijapata jibu.

#Ubaya Ubwela
Mimi ni Simba ila SANDA siivai.
Nitavaa ya msimu uliopita.
UBAYA UBWELA
 
FILA haina maana kwa kiswahili.
kwenye L pangekuwa na R sawa japo Jezi yenye maneno hayo pia Sina
Na matamshi hayana maana kwa kiswahili?

Mutombi alikataliwa sio kwa herufi za jina lake bali matamshi 😂😂

Ache ushabiki wa kijinga, Sanda ni Sanda tu, iandikwe Sanda ama isiandikwe Sanda.

Ubaya Ubwela.
 
Back
Top Bottom