OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
mchezaji mzuri unamuona siku moja tu. anaweza asiwe vizuri wakati wote lakini ukweli unabaki pale kwamba ni mchezaji mzuri. kwa mtu anayejua mpira aliweza kumuona BM siku ya kwanza tu kuwa huyu jamaa ni chuma,hivyo hivyo kwa Miqussonne.Weka akiba ya maneno muda bado