Mashabiki wa Al Ahly tujuane mapema

Pimbi umeleta last 5 matches na kukwepa kuleta mkeka mzima wa tangu walipoanza kukutana. Kiufupi; Mamelodi wins 3, Al Ahly wins 4, Draw 4. Kenge wa pink wewe!
Aahaaahaa

Hizo zilipendwa

Mkuu hii hapa ni latest

Ebu cheki hapa chini achana na hizo za kabla ya Yesu hajazaliwa
 
Mwamba, kumchambua vizuri huyu Carasco Putin weka link ya huo uzi wake hapa, tumuone anavyohamahama kahaba wa timu za soka huyu..!!
 
Kukandwa hata wewe huwa unakandwa na Ihefu. Tunachoangalia ni titles; Al Ahly (Real Madrid ya Afrika) wana mataji lukuki kuliko hao wapuuzi wapuuzi Mama road.
Usijisahaulishe PRINCE MPUMELELO DUBE...!! Prince Mpumelelo Dube ndo ihefu yenu..!! Yaani Azam huwa anawakanda nje ndani, kwetu sisi Ihefu wanatufunga tukiwa kwao Mbarali, wakija Dar wanakandwa. Hivyo ihefu kwetu ni tofauti na AZAM (Dube) kwenu.
 
We kahaba wa kuhamahama timu kula chuma hiki

 
Hawa jamaa unaweza kudhani kama vile unawatoa mwishoe wanakutoa wewe, lazima Kuna ingredients timu zetu zinakosa...Yan al ahly unawaona kabisa wanafungika ila huwatoi.
 
Wa Robo havai.nusu
 
Mniache naandaa energy ya kushangilia kwny huo mtanange...hao sio vibonde ngoja nikutahadharishe kabisa..mkiwafunga basi mjue mmeamua kuutoa mwiko nyuma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…