Hapati hata sh mia, ila atapata nafasi ya kuwakilisha nchi katika michuano ya klabu bingwa ili akachukue kile atakachokipata Simba safari hii. Ligi kuu pamoja Azam federation ni daraja la kuvuka kwenda kwenye michuano ya kimataifa.Wewe ukishinda taji la ligi kuu Tanzania bara utapata sh ngapi kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha, eti tango.Aliyepangwa kwenye kundi ni Simba, lakini tabu anapata yanga. Kama inawauma kalieni tango!
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba kufika hatua ya makundi yanga washashindwa kupumua unategemea nn simba akivuka hapo akaenda mbele zaidiSasa yanga inawahusu nini
Lazima mtakonkiwa konkiwa konkiwa masterKwa taarifa yako Point 9 tunazing'oa Taifa......halafu tunatafuta sare mbili au moja tu tushamaliza kazi...na kwa taarifa yako pia Tunamhofia AS Vita zaidi Kuliko hao waarabu kwa sababu kihistoria hawajawahi kumuumiza kichwa Mnyama...#Simbanguvumoja[emoji91][emoji91]
Al Ahly’s new signing Mohamed Mahmoud has revealed that he has rejected three European offers to join the Red Devils.Kwa taarifa yako Point 9 tunazing'oa Taifa......halafu tunatafuta sare mbili au moja tu tushamaliza kazi...na kwa taarifa yako pia Tunamhofia AS Vita zaidi Kuliko hao waarabu kwa sababu kihistoria hawajawahi kumuumiza kichwa Mnyama...#Simbanguvumoja🔥🔥
Hapati hata sh mia, ila atapata nafasi ya kuwakilisha nchi katika michuano ya klabu bingwa ili akachukue kile atakachokipata Simba safari hii. Ligi kuu pamoja Azam federation ni daraja la kuvuka kwenda kwenye michuano ya kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mburula na atakufa masikiniAl Ahly’s new signing Mohamed Mahmoud has revealed that he has rejected three European offers to join the Red Devils.
The 20-year-old has joined Al Ahly from Wadi Degla on a four-and-a-half year deal and will start training with the club starting from next January.
He revealed that he had to reject offers from Dutch giants Ajax Amsterdam, FC Basel of Switzerland, and Bundesliga side TSG 1899 Hoffenheim in order to complete his move to the Cairo giants.
“I rejected three European offers. I received offers from Germany’s Hoffenheim, Swiss side FC Basel, and Ajax Amsterdam, but I opted to join Al Ahly,” Mahmoud told MBC
Vyura mnapata tabu sana mwaka huuLazima mtakonkiwa konkiwa konkiwa master
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mimi ni lofa ila simzidi babako yako na mama yako kwa uboya na ulofa hadi kumzaa toto lofa zaidi ya wao. Wewe mtu anaongea hoja bila matusi wewe unaleta matusi.Acha ulofa wa kiakili. Kwan yanga misimu mingap Kawa bingwa hajapata alichokipata simba. 16 bora si ya mchezomchezo boya wee
Sent using Jamii Forums mobile app