Mashabiki wa Al Ahly wakishangilia kwenye mazoezi baada ya kupangwa kundi jepesi

Mashabiki wa Al Ahly wakishangilia kwenye mazoezi baada ya kupangwa kundi jepesi

Kwa taarifa yako Point 9 tunazing'oa Taifa......halafu tunatafuta sare mbili au moja tu tushamaliza kazi...na kwa taarifa yako pia Tunamhofia AS Vita zaidi Kuliko hao waarabu kwa sababu kihistoria hawajawahi kumuumiza kichwa Mnyama...#Simbanguvumoja🔥🔥

Achana na historia, al ahly atawanyòosha tu.


Vivaa Al ahly
 
Back
Top Bottom