Mashabiki wa Alikiba siyo real, ni maadui wa Diamond – Mama Ashura

Weka ushahidi kuwa Mond ndo analipwa mkwanja mrefu
Kwenye mkutano wa chama cha nassa kenya ulifanyika mombassa kama sikosei ni mwaka jana....report ya malipo kwa wasanii kutoka kwny hiyo show mond alikula 5M ksh na kiba alikula 3M ksh.
 
Kwanza we shabiki maandaz tu unafata upepo hujui Kati ya domo na Wema nan aluepigwa chini.. Domo ndo alipigwa chini halaf hujajibu swali la huyo uliemquote amekuuliza VP nyie mashabiki wa diamond mnaomchukia kiba??
 
Haya na hii ya fresh remix kaanzisha nani??
 
Haya na hii ya fresh remix kaanzisha nani??
Huwo ni mwendelezo wa kilichoanzishwa......soma mandishi alafu uyaelewe siyo unakurupuka tu.....nimesema iv kiba ndo mwanzilishi wa izi mambo....angerudi kweny career yake ya mziki baada ya mapumziko kama anavodai kwa amani bila kumu attack mond kwny interview zake sizani kama huu upuzi ungekuwepo maana kila mtu angekuwa happy na mziki wake......hebu kaiangalie sporah show aliyofanyiwa kiba kipindi anarudi kwenye game alafu uyatafakari maneno yaliyokuwa yanamtoka kiba kuhusu mond.
 
Hawa vilaza akili zao ndo zilivyo yaani kijana mwenzao anajituma wao wanakalia majungu tu.Na usikute ni wanaume hawa
Ungejua ni majungu na waanzilishi wa aya majungu ni vilaza sizani kama ungekuwa unachangia huu uzi.....nahisi ww ndo kilaza namba moja. Jibu kwa hoja na siyo matusi na kufedhesheana.
 
Kwanini Alikiba na sio Benpol au Jux?Mbona Alikiba anatukanwa kila siku naashabiki wa Diamond au huoni,Alikiba kaanza muziki/kutoka kabla ya Diamond Je mashabiki wa Alikiba kipindi hicho/kile walikuwa wanamchukia nani?
NOTE:Mbaazi zikikauka husingizia jua
 
Katika watu wajinga duniani ni huyu mama Ashira.
Hivi anasemaje kumlazimisha mtu aish maisha ayatakayo yeye?

Kwan kiba yeye kazi yake ni kutoa nyimbo tuu?? ana mipango yake siku akijiskia kuwa hii ndiyo iliyoko kwenye ratiba yake.basi atafanya.

Media presenters wa kibongo ni shida sana hasa hawa ambao wanajiita wa vichekesho ptuuuuuu

Humkuti mtu kama Millard Ayo ama masoud kupanda kaanza kumshauri ujinga kama huu.
 
Kwenye mkutano wa chama cha nassa kenya ulifanyika mombassa kama sikosei ni mwaka jana....report ya malipo kwa wasanii kutoka kwny hiyo show mond alikula 5M ksh na kiba alikula 3M ksh.
Weka hapa hiyo report tusome wote kama huna tuliza mshono huo
 
Huna fact, mm nakujibu kwa fact na mifano lakini ww unaendeshwa na hisia jibu kwa mifano iliyo na uhalisia siyo kubanaisha tu. I rest this case in peace.
 
Nadhani wewe hufwatilii mziki baki huko kwenye mkeka bet.Hivi ni Mara ngapi Diamond anamzungumzia vibaya Alikiba ile interview hata niliangalia hajamsema vibaya huyu unayemtaja ila unajihisi tu
 
Nadhani wewe hufwatilii mziki baki huko kwenye mkeka bet.Hivi ni Mara ngapi Diamond anamzungumzia vibaya Alikiba ile interview hata niliangalia hajamsema vibaya huyu unayemtaja ila unajihisi tu
Nimeamua kukupuuzia.....
 
Hivi unafahamu maana ya consipiracy wewe?!

Nimekuuliza umeshawahi kusikia kampeni dhidi ya Kiba dhidi ya tuzo zozote? And what about Diamond? Kwahiyo kwako wewe hiyo ni conspiracy?! Au umependa tu kutumia hilo neno bila kufahamu tafsiri yake?
 
Sio kweli daimond katoa nyimbo nne zimeshindwa kutamba safari hii yeye ndio kabebwa nawimbo wa alikiba
Jaribu kumtoa ukungu huyu mtu,Hivi Kabla ya Alikiba kutoa wimbo mpya diamond alishatoa nyimbo 4 lakini zote hazikufanya vizuri hawasemi tatizo nini ila kazi kumdiss alikiba
 
Hivi unafahamu maana ya consipiracy wewe?!

Nimekuuliza umeshawahi kusikia kampeni dhidi ya Kiba dhidi ya tuzo zozote? And what about Diamond? Kwahiyo kwako wewe hiyo ni conspiracy?! Au umependa tu kutumia hilo neno bila kufahamu tafsiri yake?
Kampeni gani unazungumzia?Ebu jaribu kuwa muwazi Diamond ameshapigiwa kampeni kwenye tuzo mbalimbali hata hizi za sasa hivi nenda instagram ukashuhudie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…