Kiba bila beef hana kitu mbele ya domo ukubali ukatae but in reality ndo ukwl huwo.....mashabiki wa kiba ni haters wa mond walio weng ndo maana hata ukitaka kupruvu tembelea page zao zimejaa picha za mond kuliko msani wanaemshabikia na ikitokea akatokea msanii mwingne akahiti unaona wanalalia uko kumbuka kipindi cha mziki ya darasa wote walihamia kwa darasa wakawa wanamshindanisha na domo, Kabla ya beef lao mond alikuw anamvuruga kila sector fatilia matamasha tuzo za ktma pote kule kiba alikuwa anachezea coz kulikuwa hakuna tension ya beef lkn baada ya beef tu kuanza kiba aliporudi na plan B ya beef so wote waliokuwa wana chuki na mond wakahamia kwa kiba na ukijumulisha kuvunjika kwa penzi la domo na wema hasira za mashbiki wa wema wakazimalizia kwa kumukomoa mond kumbuka tuzo za ktma kilichotekea 2015.
Ikitokea kuna tamasha wapo kiba na mond utaona mashabiki wa kiba akipanda mond wanaanza kurusha makopo na kuzomea na wakati kiba akipanda mashabiki wa mond huwa hawafanyi huo ujinga wa kurusha makopo na vitu ka izo.
Na hata ikitokea mtu akaamuwa kuwapatanisha mond yupo tyari wakae chini yaishe coz kwake beef halina faida lakin kiba hawezi kukubali na Piga uwa garagaza hawezi kukubali maana likiisha tu beef msoto unaanza.
Izo no prove tosha kuonyesha kuwa watu wanaomshabikia kiba percentage kubwa ni watu wenye chuki na mond.