Mashabiki wa Alikiba wamvaa Seven Mosha, wasema wamechoshwa na hujuma zake dhidi ya King

Mashabiki wa Alikiba wamvaa Seven Mosha, wasema wamechoshwa na hujuma zake dhidi ya King

Toa seven mosha weka petityman

Itachukua muda mrefu kuivunga ngome kama hii


Sallam Sk+babu Tale+Mkubwa Fella
Salaam kiboko sana Mendez *tale dah hawalali kisa tu mond atusue kwan ndo chakula Chao kipo hapo
 
labda kanunuliwa nae....maana dogo kwa kununua yule hajambo..HADI CAF!??
hahahahha hadi CAF kainunua wakati mwenzake hata jukwaa tu kuandaliwa la maana imeshikana...mondi acha kununua watu aseee unamliza mwenzako....
 
Entertainment industry it's all about showoff.. Sasa yeye anajifanya si mtu wa show off... Ataishia tembelea nyota ya domo...
Hayuko kibiashara hata kidogo.. Kana si mashabiki lazimisha mpambanisha na domo angekuwa analea hadi leo.. In short jamaa hajitambui
 
duh.! hao mashabiki kweli wanajitesa.

mjinga kama kiba ilitakiwa mnatupa kule mnatengeneeneza mwingine hata Nuhu Mziwanda. mnamkomalia kiba kwa lipi, kiba mwenyewe kiburi anataka kuabudiwa sijui kwa lipi hasa.

mara apondee tuzo (eti mi ni mkubwa kuliko tuzo)

bora li Diamond, linajielewa na linajituma. Watanzania mashabiki wa muziki ni bora tukamuunga mkono anayetaka kuungwa mkono i.e. Diamond.

ali kiba pasua kichwa.
 
Hicho ndio kiwango na uwezo wake Kulingana na muziki wake, Menejaz wake pamoja na washabiki wake , hapo ndipo anapostahili kuwepo hivi kweli Kiba aende kupiga muziki Zimbabwe atapata watu?
 
Seven yupo vizuri sana aisee!!angalia anapambana na vichwa vya wanamme wawili sallam..na Dragon mwingine kwenye industry aliyejaa fitina Babu tale..lakini hawalali na hawapumziki maana yake anawatia presha..sasa nackia kaanza Kumkata tena seven, yaani kiba akili yake nadhani anaijua yeye tu.Mapenzi ni kitu cha muda siku wakikosana na ni lazima wakosane kwa tabia za Ally...yule dada atakaa pembeni na hapo ndio atajua siyo kila mwanamke ni wa kupiga mti...anatakiwa aheshimu kazi hizo feelings ni za muda tu.
Nikusahihishe kidogo hapo, management ya Diamond inafanya kwa speed ya ajabu since day one, si sahihi kusema wanafanya kazi bila kulala kwa presha wanayopata kutoka kwa Bi mosha, Hell to big No!
 
He shud' stop taking his fans for granted, Fans wake wamejitolea sana kuhakikisha anakuwa hata the second best from diamond.
halafu mashabiki wa kiba kwa kumsema Diamond anajisikia ana dharau na blah blah kibao, haha Mungu anawachapa kwa fimbo zake naona, kujua kiba ana dharau za namna gani kulihitaji muda tu kulidhihirisha hilo.
 
He shud' stop taking his fans for granted, Fans wake wamejitolea sana kuhakikisha anakuwa hata the second best from diamond.
halafu mashabiki wa kiba kwa kumsema Diamond anajisikia ana dharau na blah blah kibao, haha Mungu anawachapa kwa fimbo zake naona, kujua kiba ana dharau za namna gani kulihitaji muda tu kulidhihirisha hilo.
Umepoteaaaa Jaman
 
He shud' stop taking his fans for granted, Fans wake wamejitolea sana kuhakikisha anakuwa hata the second best from diamond.
halafu mashabiki wa kiba kwa kumsema Diamond anajisikia ana dharau na blah blah kibao, haha Mungu anawachapa kwa fimbo zake naona, kujua kiba ana dharau za namna gani kulihitaji muda tu kulidhihirisha hilo.
Lakini kwa sasa wameshajua wazi kuwa Alikiba ana kibri na dharau wakati hana hata lolote bora hata mwenzie Jide ambaye kwenye kazi zake ana wathamini sana mashabiki wake... lakini Alikiba anawaona mashabiki wake kama hawana thamani yeyote kabisa...
 
I think Ali kiba need to grow up, kutegemea talent na sauti nzuri hakutoshi bila juhudi na maarifa. Mfano Christiano Ronaldo si talented kuzidi au hata kumfikia Messi na baada ya kulijua hilo alifanya juhudi binafsi kuifikia level ya Messi na sasa anaenjoy mafanikio ya kujitoa kwake kwa juhudi na maarifa na Messi anakubali kuwa CR7 ni mpinzani wake .
Alikiba ni mvivu sana tena sana.......
 
asee nimesikia dodoma tembo wamenyofolewa pembe, watalii wamegoma kuja!! mchawi mkubwa wa kiba ni kioo, mwambieni achukue kioo ajiangalie atamuona mchawi wake! Msisahau pia kumwambia, akijua kujifananisha basi ajue na kujitofautisha!!
 
Back
Top Bottom