Salaam kiboko sana Mendez *tale dah hawalali kisa tu mond atusue kwan ndo chakula Chao kipo hapoToa seven mosha weka petityman
Itachukua muda mrefu kuivunga ngome kama hii
Sallam Sk+babu Tale+Mkubwa Fella
hahahahha hadi CAF kainunua wakati mwenzake hata jukwaa tu kuandaliwa la maana imeshikana...mondi acha kununua watu aseee unamliza mwenzako....labda kanunuliwa nae....maana dogo kwa kununua yule hajambo..HADI CAF!??
Ha ha ha haManager wa Ali Kiba ni pandikizi!
Nikusahihishe kidogo hapo, management ya Diamond inafanya kwa speed ya ajabu since day one, si sahihi kusema wanafanya kazi bila kulala kwa presha wanayopata kutoka kwa Bi mosha, Hell to big No!Seven yupo vizuri sana aisee!!angalia anapambana na vichwa vya wanamme wawili sallam..na Dragon mwingine kwenye industry aliyejaa fitina Babu tale..lakini hawalali na hawapumziki maana yake anawatia presha..sasa nackia kaanza Kumkata tena seven, yaani kiba akili yake nadhani anaijua yeye tu.Mapenzi ni kitu cha muda siku wakikosana na ni lazima wakosane kwa tabia za Ally...yule dada atakaa pembeni na hapo ndio atajua siyo kila mwanamke ni wa kupiga mti...anatakiwa aheshimu kazi hizo feelings ni za muda tu.
Umepoteaaaa JamanHe shud' stop taking his fans for granted, Fans wake wamejitolea sana kuhakikisha anakuwa hata the second best from diamond.
halafu mashabiki wa kiba kwa kumsema Diamond anajisikia ana dharau na blah blah kibao, haha Mungu anawachapa kwa fimbo zake naona, kujua kiba ana dharau za namna gani kulihitaji muda tu kulidhihirisha hilo.
Lakini kwa sasa wameshajua wazi kuwa Alikiba ana kibri na dharau wakati hana hata lolote bora hata mwenzie Jide ambaye kwenye kazi zake ana wathamini sana mashabiki wake... lakini Alikiba anawaona mashabiki wake kama hawana thamani yeyote kabisa...He shud' stop taking his fans for granted, Fans wake wamejitolea sana kuhakikisha anakuwa hata the second best from diamond.
halafu mashabiki wa kiba kwa kumsema Diamond anajisikia ana dharau na blah blah kibao, haha Mungu anawachapa kwa fimbo zake naona, kujua kiba ana dharau za namna gani kulihitaji muda tu kulidhihirisha hilo.
Alikiba ni mvivu sana tena sana.......I think Ali kiba need to grow up, kutegemea talent na sauti nzuri hakutoshi bila juhudi na maarifa. Mfano Christiano Ronaldo si talented kuzidi au hata kumfikia Messi na baada ya kulijua hilo alifanya juhudi binafsi kuifikia level ya Messi na sasa anaenjoy mafanikio ya kujitoa kwake kwa juhudi na maarifa na Messi anakubali kuwa CR7 ni mpinzani wake .