ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kuna watu mnafikirisha sana ! sijui ni umri au ni ubishi wa asili? The highest paid footballer, top scorer of all time in UCL, internationally, 5× UEFA champions League winner, 5× Balon O Dior . Euro cup, Nation League, England kashinda kila kitu, Spain kaweka records , Seria A kafanya mabalaa Niambie kuna mchezaji gani mwingine unae mjua ana hizo records?Dah ila ronaldo sjui ana kamkosi yule mwamba???
jana kaweka 4 peke yake.Dah ila ronaldo sjui ana kamkosi yule mwamba???
Bado anakwambia huyo mtu ana mkosi sasa sijui yeye ambaye hana mikosi kafanya kipi kwenye maisha hayaKuna watu mnafikirisha sana ! sijui ni umri au ni ubishi wa asili? The highest paid footballer, top scorer of all time in UCL, internationally, 5× UEFA champions League winner, 5× Balon O Dior . Euro cup, Nation League, England kashinda kila kitu, Spain kaweka records , Seria A kafanya mabalaa Niambie kuna mchezaji gani mwingine unae mjua ana hizo records?
Vijana wa kitanzania tuna safari ndefu sanaBado anakwambia huyo mtu ana mkosi sasa sijui yeye ambaye hana mikosi kafanya kipi kwenye maisha haya
Duniani hukuna mtu mwenye mwezie, ndio maana kila mtu ana kitu tofauti na mwingine! Mwambie huyo mwenzie akachukue Seria A na EPLAshinde kombe la dunia kwanza, mwenzie analo tayari.
Hayo ni makombe yanayo tolewa na mashirikisho ya mpira ya nchi husika, mwambie alete kombe kubwa kuliko makombe yote duniani yaani kombe linalo andaliwa na baba la mashirikisho yote (FIFA) namaanisha kombe la DUNIA ndio tuanze mazungumzo upya.Duniani hukuna mtu mwenye mwezie, ndio maana kila mtu ana kitu tofauti na mwingine! Mwambie huyo mwenzie akachukue Seria A na EPL
Worldcup sio kipimo cha kua mchezaji bora, kama ni hivyo basi Giroud ni bora kuliko LewandoskyHayo ni makombe yanayo tolewa na mashirikisho ya mpira ya nchi husika, mwambie alete kombe kubwa kuliko makombe yote duniani yaani kombe linalo andaliwa na baba la mashirikisho yote (FIFA) namaanisha kombe la DUNIA ndio tuanze mazungumzo upya.
Huyo kijana Mreno kashapoteza sifa ya kulinganishwa na Lionel Andunje mzee wa kukusanya kijiji na kukipelekea moto chote na bao juu yaani goli.Worldcup sio kipimo cha kua mchezaji bora, kama ni hivyo basi Giroud ni bora kuliko Lewandosky
Hayo ni maoni yako upo sahihi kulingana na uelewa wako! kama unatumia worldcup SI unit ya uchezaji bora basi Enzo Fernandez ni bora kuliko Luca ModricHuyo kijana Mreno kashapoteza sifa ya kulinganishwa na Lionel Andunje mzee wa kukusanya kijiji na kukipelekea moto chote na bao juu yaani goli.
Kwa Nini Kila siku yeye tu.?Siku zote mchezaji Nyota ndiye anaye beba lawama mambo ya napo haribika, Kwaiyo si jambo jipya Wala halijawahi kuwa jipya na litaendelea kuwa hivyo Kwa mashabiki.
Mfano mdogo alipokuwepo Pogba man U lawama zilikua kwake, alipo ondoka lawama zikaenda Kwa Harry Maguire n.k
Labda kama si mwana michezo unaweza usifahamu ilo.
Kwasababu yeye ndio kiumbe anayefuatiliwa zaidi duniani kwahiyo kila kitu kwake ni story kubwaKwa Nini Kila siku yeye tu.?
Mwaka 1995 George Weah alichukua tuzo ya kuwa mchezaji bora duniani, lakini timu yake ya taifa sio tu haikuwahi kuchukua kombe la dunia, bali hata kushiriki michuano ya fainali za kombe hiloAshinde kombe la dunia kwanza, mwenzie analo tayari.