Mashabiki wa Arsenal wamemiminika kwenye nyumba za ibada huko nchini Nigeria saa chache baada ya makundi ya UEFA kutoka na kujikuta wao wamepangwa na Fc Barcelona.
MAONI YANGU: Arsenal kuwatoa Barcelona hizo ni ndoto za Abunoas hivyo mashabiki wao wanatakiwa wajiandae kisaikolojia kwa kichapo kikali View attachment 311198
Ujinga ujinga tu picha ina miaka kibao mtandaoni
kila linapotokea balaa Arsenal lazima waitumie haters
Mashabiki wa Arsenal wamemiminika kwenye nyumba za ibada huko nchini Nigeria saa chache baada ya makundi ya UEFA kutoka na kujikuta wao wamepangwa na Fc Barcelona.
MAONI YANGU: Arsenal kuwatoa Barcelona hizo ni ndoto za Abunoas hivyo mashabiki wao wanatakiwa wajiandae kisaikolojia kwa kichapo kikali View attachment 311198
Uongo mtupu., Barcelona wenyewe wana hofu ya Arsenal, kila team Europ ilikuwa inaogopa kupangwa na Arsenal wanajuwa mechi itakuwa haitabiriki.