PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Mashabiki wa Arsenal wamemiminika kwenye nyumba za ibada huko nchini Nigeria saa chache baada ya makundi ya UEFA kutoka na kujikuta wao wamepangwa na Fc Barcelona.
MAONI YANGU: Arsenal kuwatoa Barcelona hizo ni ndoto za Abunoas hivyo mashabiki wao wanatakiwa wajiandae kisaikolojia kwa kichapo kikali
MAONI YANGU: Arsenal kuwatoa Barcelona hizo ni ndoto za Abunoas hivyo mashabiki wao wanatakiwa wajiandae kisaikolojia kwa kichapo kikali
