Mashabiki wa Chelsea pendekezeni kocha anayefaa kuja kutwaa mikoba ya Porter

Mashabiki wa Chelsea pendekezeni kocha anayefaa kuja kutwaa mikoba ya Porter

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
At any time t Potter anaweza kuondolewa pale Chelsea kutokana na mwenendo mbovu wa timu. Tutumie hii thread kupendekeza kocha gani anafaa kuja kuchukua mikoba yake hata kama bado hajafutwa kazi. Mi naanza na.

Ernesto Valverde, kocha wa zamani wa Barcelona. Huyu mwamba alikuwa ana mwenendo mzuri sana pale Barca sema comeback ndo zilizomwangusha.

Haya twende kazi.
 
At any time t route anaweza kuondolewa pale Chelsea kutokana na mwenendo mbovu wa timu. Tutumie hii thread kupendekeza kocha gani anafaa kuja kuchukua mikoba yake hata kama bado hajafutwa kazi. Mi naanza na.

Ernesto Valverde, kocha wa zamani wa Barcelona. Huyu mwamba alikuwa ana mwenendo mzuri sana pale Barca sema comeback ndo zilizomwangusha.

Haya twende kazi.
Nasredinne Mohammed Nabi wa Yanga.
 
At any time t Potter anaweza kuondolewa pale Chelsea kutokana na mwenendo mbovu wa timu. Tutumie hii thread kupendekeza kocha gani anafaa kuja kuchukua mikoba yake hata kama bado hajafutwa kazi. Mi naanza na.

Ernesto Valverde, kocha wa zamani wa Barcelona. Huyu mwamba alikuwa ana mwenendo mzuri sana pale Barca sema comeback ndo zilizomwangusha.

Haya twende kazi.
Julio.
 
Nyie ng'ombe mnafikili T.B anapita jf kusikiliza ujinga wenu .....

Potter yupo Sana ,matajiri wanataka project kama ya arsenal "trust the process"...

Mambo ya timua timua yalikuwa ya abrahmovic...huu ni utawala mpya
 
Back
Top Bottom