babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
fulsa...Nashukuru Kwa kupata fulsa hii kuwepo kwenye huu Uzi
Kwa majina naitwa LABAN og . Ni raisi wa horoya FC naomba ushirikiano wenu kwenu mashabiki wa simba na wananchi & wengine
Kuisapoti timu yetu ya horoya kushinda kishindo heavyweight dhidi ya mbu mbu mbu.........
Tumefanya mikakati mingi kuhakikisha tunashinda hii mechi
Translated from french
Your's faithfully,
Laban og
Horoya's president
Kuna mtu inaenda kumkuta zaidi ya hii hivi karibuni
ndugu laisi ili mushinde inabidi unipe kinyeo hicho Mana hata raja walivyo kuja raisi wao alinigea kinyeo nikawapa baraka zakushindaNashukuru Kwa kupata fulsa hii kuwepo kwenye huu Uzi
Kwa majina naitwa LABAN og . Ni raisi wa horoya FC naomba ushirikiano wenu kwenu mashabiki wa simba na wananchi & wengine
Kuisapoti timu yetu ya horoya kushinda kishindo heavyweight dhidi ya mbu mbu mbu.........
Tumefanya mikakati mingi kuhakikisha tunashinda hii mechi
Translated from french
Your's faithfully,
Laban og
Horoya's president
tunapiga kolo kwa mukapaHuu uzi ni maalumu kwa wapenzi na mashabiki wa Horoya popote pale walipo hapa Duniani. Pia watu wote wenye mapenzi mema na hii timu yetu ya Horoya karibuni.
Jumamosi tuna jambo letu.
View attachment 2550156
Kila mtu ashinde mechi zakeKamati ya mapokezi tayari iko kazini . Hata hivyo tumeimisi Sana mwaka huu.
Mkui niwekee siti hapo mbele kabisaHuu uzi ni maalumu kwa wapenzi na mashabiki wa Horoya popote pale walipo hapa Duniani. Pia watu wote wenye mapenzi mema na hii timu yetu ya Horoya karibuni.
Jumamosi tuna jambo letu.
View attachment 2550156
AhahaaaahMbona mechi ya raja hatujakimbia? Jiandae kisaikolojia
Haukufa,ila umehamia hukuKuna huu uzi ulikufa kimya kimya wala hata mashabiki wa Vipers hawakuwasindikiza wachezaji wao airport:
Mashabiki wa Vipers SC tukutane hapa
Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club. Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda. Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende Niwatoe...www.jamiiforums.com
AahaaaaahMashabiki wa Monastir msikonde muda si mrefu nashuka na uzi wa die hard fans wa Us Monastir
Mbu mbu mbu mnwaza tu ush......gafulsa...
horoya
Mbona unaandika kis..ga