Double standardAmejenga MACHINGA COMPLEX..mbona yako mengi tu...! tumeona mawaziri wakining'inizwa mahakamani....
AWAMU YA KIKWETE
1.Amejenga Chuo Kikuu Cha Dodoma
2.Barabara ya Kilwa Road
3.....
UDOM kimejengwa na waarabu kwa minajili ya kueneza UISLAMU.
Hatudanganyiki!!
Ruanda ni nchi ndogo sana ukilinganisha na Tanzania lakini wana vibrant AIRLINE[Rwandair] Kikwete ameua Air Tanzania kwa kumteua Kawambwa kuwa waziri wa miundombinu!!
Mbona rahisi tu mkuu, tutajie sio kulia lia!!!!!!!!!!!!!! asking for too much from who????????? Nini kazi za serikali?