zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,075
- 9,263
1, ni handsome kuliko marais waliomtangulia.
2, mauaji ya albino wkt wa uongozi wake.
3, hajawahi kununa.
4, watoto wake ni maarufu kuliko watoto wa marais waliomtangulia.
5, anaongoza kwa kudanganywa kuliko rais yeyote duniani.
6, rais wa kwanza kumuona obama kwa kumvizia.
2, mauaji ya albino wkt wa uongozi wake.
3, hajawahi kununa.
4, watoto wake ni maarufu kuliko watoto wa marais waliomtangulia.
5, anaongoza kwa kudanganywa kuliko rais yeyote duniani.
6, rais wa kwanza kumuona obama kwa kumvizia.