Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
Nimechungulia comments za page nyingi za mitandao ya kijamii za mashabiki wa klabu ya Manchester United (page za Internationals&Britons) wengi wa mashabiki kama sio wote katika page hizo wanataka Manchester United ashinde leo katika mechi yake dhidi ya Manchester city katika uwanja wa Old Traford, Ushindi ambao utashuhudia kwa kiasi kikubwa Liverpool akichukua ubingwa kwa mara ya kwanza mara baada ya miaka thelathini dhidi ya manchester City kwa sababu Liverpool atakuwa na edge ya point mbili dhidi ya Man City provided akishinda mechi zote alizobakiza katika ligi msimu huu(na ni mechi tatu tu na zote mechi ndogo)