Mi nipo kwa pembeni niokote embe kwenye mnazi....π΄οΈSawa Man u akishinda tutarudiana.
Asiposhinda jee?
Ndiyo ushakosa mke mpaka hapa.Tubet,man u akishinda turudiane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nipo kwa pembeni niokote embe kwenye mnazi....[emoji2740]
Weka hapa screenshot za comments za hao mabeberuNimechungulia comments za page nyingi za mitandao ya kijamii za mashabiki wa klabu ya Manchester United (page za Internationals&Britons) wengi wa mashabiki kama sio wote katika page hizo wanataka Manchester United ashinde leo katika mechi yake dhidi ya Manchester city katika uwanja wa Old Traford, Ushindi ambao utashuhudia kwa kiasi kikubwa Liverpool akichukua ubingwa kwa mara ya kwanza mara baada ya miaka thelathini dhidi ya manchester City kwa sababu Liverpool atakuwa na edge ya point mbili dhidi ya Man City provided akishinda mechi zote alizobakiza katika ligi msimu huu(na ni mechi tatu tu na zote mechi ndogo)
View attachment 1079874
Duuh upo vizur mkuuKila la kheri Man city!
Man C 2-0 Man U
Huyo alikuwa hana nia ya mke, maana alishajua kuwa Man U kushinda siyo rahisiπππππNdiyo ushakosa mke mpaka hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
utakuwa mshabiki wa liverfools wew....kifupi ni kwamba pambana na hali yako sisi leo tunapigwa tatu na city na kombe wanabebaa....for me mara elfu moja city achukue kuliko nyie vilaza....viva Man U ushind kwa city leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakuwa tayari kuoa.Huyo alikuwa hana nia ya mke, maana alishajua kuwa Man U kushinda siyo rahisi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]