Mashabiki wa Man Utd wa Bongo tu ndio wanataka Man City ashinde leo pale Old Traford

mtoa mada umefuatilia ata malegendary wa Utd wanavyosema au kujichukulia?? huo mtandao ulioingia n washabik makindakinda yaan watt wadogo na washabik wa City Paul Scholes kawaambia Utd km n sahihi walitaka kushindana wangepania kwa Wolves,Arsenal na Everton co kwnd kumsaidia Liverpool
 
utakuwa mshabiki wa liverfools wew....kifupi ni kwamba pambana na hali yako sisi leo tunapigwa tatu na city na kombe wanabebaa....for me mara elfu moja city achukue kuliko nyie vilaza....viva Man U ushind kwa city leo.
 
Weka hapa screenshot za comments za hao mabeberu
 
utakuwa mshabiki wa liverfools wew....kifupi ni kwamba pambana na hali yako sisi leo tunapigwa tatu na city na kombe wanabebaa....for me mara elfu moja city achukue kuliko nyie vilaza....viva Man U ushind kwa city leo.

I'm so happy kamanda wangu πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…