Mashabiki wa mikoani punguzeni shobo kwa wachezaji

Mashabiki wa mikoani punguzeni shobo kwa wachezaji

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Najua ni mahaba yenu na support kwa team mnazozipenda za simba na yanga ila hawa wachezaji kwao wanaona ni shobo na kero

Nitolee mfano wa team yangu simba,ukitoa Kagere ,kwasi na Gyan wengine waliobaki hata kupunga mkono huwa hawàtaki,team imeshuka kwenye basi wanaingia hotelini,kina mama ,watoto na manjemba yana scream kwa furaha wakitaja majina yenu hata mkono hamtaki kupunga

Niliona ile ya Arusha,mkude kashuka kazunguka kwa nyuma eti anawakimbia mashabiki,sijui ile mikonyagi ilikuwa iko kichwani?
 
nawashauri waache,hao wachezaji huwa hadi wanakunja sura ukiachilia kwasi,gyan na kagere ambao huwa atleast wana smile na kupunga mikono

Ni nchi zetu za tatu tu bosi, Ulaya kwenye mikataba yao kunakuwa na clauses ambazo zinamlazimisha mchezaji kuwa friendly kwa washabiki.

Kumbuka, bila sisi mashabiki wao si kitu, wanacheza kwa ajili yetu, wanatakiwa kuwa connected na sisi ndani na nje ya uwanja.
 
Ni nchi zetu za tatu tu bosi, Ulaya kwenye mikataba yao kunakuwa na clauses ambazo zinamlazimisha mchezaji kuwa friendly kwa washabiki.

Kumbuka, bila sisi mashabiki wao si kitu, wanacheza kwa ajili yetu, wanatakiwa kuwa connected na sisi ndani na nje ya uwanja.
huwa nashangaa sana lakini wakiwa dar wanacheka na mashabiki kabisa huko mikoani wanakunja sura
 
Huwa naona wachezaji washamba tu,hii ndo bongo. Haiwezekani maraia wana-show love halafu mnadengue. Mmekuwa wanaume wa Dar nyinyi. Manara wape kavu hao madogo
hahahaha mimi siyo manara bwana ila nachukia sana majitu yanashangiliwa eti yapo busy na earphones hata kupunga mkono hawataki subiri nitaongea na wanangu wa ma group zianze kampeni za kuwasusia watashangiliwa uwanjani tu yaani mpira hata ukiisha huwa hafanyi ku aknowledge washabiki kuzunguka na kupiga nao makofi,YAKO KAMA MAROBOT UTADHANI YAMELAZIMISHWA VILE KUWA KWENYE HIZO TEAMS.
 
Nimekubali hili diss wasipolielewa Basi watakuwa wabishi kinoma
Seema kwa upande mwingine inaashiria Wana stress Sana wachezaji wetu.na wasanii wetu.na viongozi wetu
 
Nimekubali hili diss wasipolielewa Basi watakuwa wabishi kinoma
Seema kwa upande mwingine inaashiria Wana stress Sana wachezaji wetu.na wasanii wetu.na viongozi wetu
dah ndugu yangu hao mashabiki wanaoshinda barabarani na kwenye ngazi za milango ya hotel kushangilia ndo wana stress zaidi,tena bora hata useme yanga wana stress siyo simba nikingaliaga yanga wanavyopokelewa kuna unafuu sana wa response kuliko simba naweza kusema kwamba wachezaji wa simba ya sasa wanaringa sana na kujisikia haswa mkude.
 
huwa nashangaa sana lakini wakiwa dar wanacheka na mashabiki kabisa huko mikoani wanakunja sura

Ni kutojielewa, pia mpira wetu bado hatujaamua kuufanya kama profession.

Ndiyo maana hata mikataba ya wachezaji ni utata, nidhamu za wachezaji ni utata, interviews wachezaji wanaweza kuamua wafanye au wasifanye nk nk.

Professional Sports iko owned na washabiki, bila sisi hakuna kiingilio, hakuna broadcasting contracts, hakuna hela kutoka kwa wadhamini, na mwisho wa siku wao hawatalipwa na hivyo hawatacheza.
 
mikia FC akili zenu buana.
nini tena? ni bora ningalie yanga wakipokelewa mikoani wanaonyesha ushirikiano kidogo na mashabiki kuanzia kocha wao yule chizi zahera,ku smile na kupungia mashabiki ila wachezaji wetu huwa wananiudhi sana kama Arusha ,mkude alizunguka nyuma ya basi kazunguuuka mbali mlango mwingine eti anakwepa kero ya mashabiki
 
Ni kutojielewa, pia mpira wetu bado hatujaamua kuufanya kama profession.

Ndiyo maana hata mikataba ya wachezaji ni utata, nidhamu za wachezaji ni utata, interviews wachezaji wanaweza kuamua wafanye au wasifanye nk nk.

Professional Sports iko owned na washabiki, bila sisi hakuna kiingilio, hakuna broadcasting contracts, hakuna hela kutoka kwa wadhamini, na mwisho wa siku wao hawatalipwa na hivyo hawatacheza.
Uko sahihi sana,angalia hata samatta na msuva wakirudi bongo wanavyo interract na mashabiki na waandishi kuna utofauti unaona wamejifunza mengi huko walipo na pia nimsifu sana kocha wa yanga Zahera kwa interaction yake na washabiki huko mikoani.
 
nini tena? ni bora ningalie yanga wakipokelewa mikoani wanaonyesha ushirikiano kidogo na mashabiki kuanzia kocha wao yule chizi zahera,ku smile na kupungia mashabiki ila wachezaji wetu huwa wananiudhi sana kama Arusha ,mkude alizunguka nyuma ya basi kazunguuuka mbali mlango mwingine eti anakwepa kero ya mashabiki
Yanga timu ya wananchi. . Usifananishe na watu waliokuwa wanaunga mkono wakoloni
 
nawashauri waache,hao wachezaji huwa hadi wanakunja sura ukiachilia kwasi,gyan na kagere ambao huwa atleast wana smile na kupunga mikono
Hadi Zana Coulibaly huwa anakausha!! Wewe utakua wa upande wa piliģ
 
hivi wachezaji nao wanaingia jamii forums? leo nimeshangaa kina manula wanapungia mashabiki wkati wakiingia uwanjani,maajabu.
 
Back
Top Bottom