Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Huwa nakaa najiuliza hivi unapataje muda wa kushabikia mpira halafu unakua lofa na masikini, aisee nyie mashabiki wa mpira Tanzania tafuteni hela mnanuka njaa sana na mnaleta usumbufu kwa matajiri kama sisi barabarani mkipita na vi Costa vyenu na hivyo vivuvuzela.
Yaani mnaonesha kabisa njaa imewatawala masikini nyie tafuteni hela.
Yaani mnaonesha kabisa njaa imewatawala masikini nyie tafuteni hela.