Mashabiki wa mpira Tanzania ni masikini sana

Mashabiki wa mpira Tanzania ni masikini sana

Huwa nakaa najiuliza hivi unapataje muda wa kushabikia mpira halafu unakua lofa na masikini, aisee nyie mashabiki wa mpira Tanzania tafuteni hela mnanuka njaa sana na mnaleta usumbufu kwa matajiri kama sisi barabarani mkipita na vi Costa vyenu na hivyo vivuvuzela.

Yaani mnaonesha kabisa njaa imewatawala masikini nyie tafuteni hela.
👍
 
Hivi kwako unajua maana ya hata neno masikini ? Huenda wewe ambae hauna kitu / hobbie ya kukufanya uwe na furaha kama mshabiki wa mpira ndio utakuwa masikini..., Kama unaona furaha yako lazima utumie pesa kuipata hio sio furaha ambayo ni sustainable unless utafutaji wa pesa ndio furaha yako

To each his/her own...
 
Hivi kwako unajua maana ya hata neno masikini ? Huenda wewe ambae hauna kitu / hobbie ya kukufanya uwe na furaha kama mshabiki wa mpira ndio utakuwa masikini..., Kama unaona furaha yako lazima utumie pesa kuipata hio sio furaha
Elimu,elimu,elimu...tatizo ni drs la 7, hivyo vichenji maiti vinamtia wazimu...elimu ni nzuri sana
 
Screenshot_20240918-135552.jpg
 
Hapa nadhani hujamuelewa Matola, ukadhani anakusema wewe, kumbe anamsema mleta uzi. Kwa ufupi mleta uzi amewafarakanisha wapinzani wake
Wewe unaona ni mtu wa kujibizana nae huyo?
 
Huwa nakaa najiuliza hivi unapataje muda wa kushabikia mpira halafu unakua lofa na masikini, aisee nyie mashabiki wa mpira Tanzania tafuteni hela mnanuka njaa sana na mnaleta usumbufu kwa matajiri kama sisi barabarani mkipita na vi Costa vyenu na hivyo vivuvuzela.

Yaani mnaonesha kabisa njaa imewatawala masikini nyie tafuteni hela.
Mimi kama nabii mwenye uwezo wa kuona mbali naziona siku zako za kuishi sio nyingi hufiki mwanka 2025 utakua umekufa Cha kukushauli hizo Mali ulizonazo anza kugawa ulithi kama unawatoto nimemaliza. NB usipuuze maneno yangu
 
Back
Top Bottom