Mashabiki wa Mpira Tanzania tupunguzeni au ikiwezekana kabisa tuache upesi huu Ushamba ambao Unaboa

Mashabiki wa Mpira Tanzania tupunguzeni au ikiwezekana kabisa tuache upesi huu Ushamba ambao Unaboa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama ulikuwa unawaza nahodha wa Simba, Mohamed Hussein 'Tshabalala' anaweza akatundiga daruga hivi karibuni, basi sikia majibu yake.

Tshabalala amejibu swali aliloulizwa na Mwananchi kutokana na kucheza kwa kiwango bora ndani ya misimu 10 katika kikosi cha Simba hawazi kustaafu?
Na haya ndiyo majibu yake: "Sina wazo kabisa la kustaafu kwa sasa. Kikubwa nina nguvu ya kuisaidia timu, basi ninaweza nikacheza miaka mingi, labda itokee nimepata changamoto ya kuniweka nje."

Tshabalala amesema kinachomfanya asishuke kiwango ni kuzingatia mazoezi, kujituma, usikivu na kuyafanyia kazi yale ambayo anaelekezwa na makocha, lakini kubwa zaidi ni kwamba halewi sifa.

Chanzo Taarifa: mwananchi_official

Tshabalala nimjuaye Mimi akiwa na akina Gallas, Dodo Edward na Mkude hata siyo Mzee kama tunavyomdhania. Hivi ni kwanini Mchezaji akiwa hakai Mkeka (Benchi) hasa kwa hivi Vilabu Vikubwa vya Simba na Yanga basi huwa tunakuwa wepesi sana kusema kuwa ni Wazee na Wastaafu Mpira / Soka / Ndiki / Fabo / Mbutuka?
 
Kama ulikuwa unawaza nahodha wa Simba, Mohamed Hussein 'Tshabalala' anaweza akatundiga daruga hivi karibuni, basi sikia majibu yake.

Tshabalala amejibu swali aliloulizwa na Mwananchi kutokana na kucheza kwa kiwango bora ndani ya misimu 10 katika kikosi cha Simba hawazi kustaafu?
Na haya ndiyo majibu yake: "Sina wazo kabisa la kustaafu kwa sasa. Kikubwa nina nguvu ya kuisaidia timu, basi ninaweza nikacheza miaka mingi, labda itokee nimepata changamoto ya kuniweka nje."

Tshabalala amesema kinachomfanya asishuke kiwango ni kuzingatia mazoezi, kujituma, usikivu na kuyafanyia kazi yale ambayo anaelekezwa na makocha, lakini kubwa zaidi ni kwamba halewi sifa.

Chanzo Taarifa: mwananchi_official

Tshabalala nimjuaye Mimi akiwa na akina Gallas, Dodo Edward na Mkude hata siyo Mzee kama tunavyomdhania. Hivi ni kwanini Mchezaji akiwa hakai Mkeka (Benchi) hasa kwa hivi Vilabu Vikubwa vya Simba na Yanga basi huwa tunakuwa wepesi sana kusema kuwa ni Wazee na Wastaafu Mpira / Soka / Ndiki / Fabo / Mbutuka?
Huyu jaama yuko vizuri sana nampa A top
 
Hussen kila siku ananiprove wrong...

Jamaa ana juhudi haswaa...

Mungu amsaidie asipate majereha...
 
Tatizo hili soka letu linashabikiwa na mijitu mingi mijinga jinga

Tangu mwaka juzi baadhi ya mijinga hiyo ikaanza kusema Tshabalala kazeeka, anafaa atupishe pale Simba tulete nguvu mpya

Lakn Tshabalala huyu chini ya makocha Tisa mfululizo wa Simba kuanzia Patrick Aussems, Sven, Gomes De Rosa, Pablo, Zoran Maki, Mgunda, Robertinho, Benchika na sasa Fadlu,, beki huyu kisiki ameaminiwa na wote hao na amekuwa na kiwango kizuri sana

Ameletewa kila aina ya wachezaji wa kumchallenge lakn ameprove ubora wake

Ni mtu mwenye nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja
 
Nadhani hajasema yote ila inawezekana jamaa hanywi pombe kabisa, na anazingatia mlo unaotakiwa,mazoezi ya kutosha pia
 
Alianza soka bado Kinda....!

Kwa Sasa ndo amefika ujana ndo kaletewa Vijana wenzie kina Mpanzu na JanChaziAhuaa,.... Wazee wameenguliwa kina Chama na Ntibazonkiza
 
Zile tuhuma za mambo meusi meusi kumhusu huyu Le Captain mbona sizioni hapa? Au macho yamepata ukungu?
 
Back
Top Bottom