Mashabiki wa Ronaldo wanaharibu soka

Mashabiki wa Ronaldo wanaharibu soka

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Ronaldo alianza kumtuma Pepe na Bruno Fernandez wa ureno kusema kuwa FIFA wanambeba Messi.

20221211_191019.jpg
20221211_191014.jpg

Tokea hapo kumekuwa na wimbi kubwa la mashabiki wa Ronaldo ambao kila mechi ya Argentina wanalalamika inabebwa, mfano ni jana ile penati.

Tunajua ndio penalty nyingi kwenye mpira huwa zinaleta debates lakini Pale ilikuwa clear kabisa, Kipa alimfata mchezaji na kumvaa na kumuwekea na mguu kabisa ili asipite.

Haijalishi kama angeupata au asingeupata maana lengo la Alvarez ilikuwa kumla kanzu na kumzunguka kipa.

Lile tendo hata lingefanyika nje ya box, ni faulo kabisa ile, ila utakuta mashabiki lialia wa Ronaldo wanasema Argentina inabebwa.

20221214_010429.jpg

Mpira haupo hivyo wazee, this is just a game, acheni uhasama na ushabiki maandazi. Mkifanya hivyo mnaharibu hata ladha ya mpira.
 
Wareno wamepigwa hadharani kabisa na Morocco, kila mtu akishuhudia. Brazil walitolewa na Croatia kila mtu akishuhudia. Argentina walipigwa na Saudi Arabia kila aliekua na macho aliona!

Watu wakicheza faulu kwenye eneo la hatari, ni lazima penalty zitolewe. Haijalishi anapewa nani, hapo ni kanuni ndio zinafuatwa!

Mashabiki wengi wa Ronaldo, ni wanawake wanaovutiwa na muonekano wake, pamoja na masharobaro wanaopenda mitindo yake ya mavazi. Ni ngumu sana kupata facts za kimpira kutoka kwa watu wa aina hiyo!
 
Timu Andunje mnaweweseka sana, kwani si mmeshaandaliwa na FIFA mbebe kombe lenu la dunia kwa mbeleko ili Andunje wenu toka Argentina asistaafu bila ya kuwa na tuzo ya ubora sawa na Pele?

Tunajua mvua inyeshe au jua liwake tuna penalties zetu za kutosha tu fainali Vs timu yoyote ile itayoingia [emoji1732][emoji1]

Miss wenu ana nini kwani hadi kila mechi ikiwa inachezwa anawazonga zonga Marefa kuongea nao, hajiamini au anawakumbushia bahasha walizotembezewa ili wasiwasahau kuwabeba Argentina [emoji848][emoji16]
 
Penati ilikuwa clear kabisa, vipi wewe mkuu leo upo timu gani France au Morocco?
Watu wanabishana na VAR.. ..
Mimi leo sipo Ufaransa wala sipo Morocco
Yaani kiufupi nipo nipo tuuu hahahaa
 
Ronaldo alianza kumtuma Pepe na Bruno Fernandez wa ureno kusema kuwa FIFA wanambeba Messi.

View attachment 2446266View attachment 2446267
Tokea hapo kumekuwa na wimbi kubwa la mashabiki wa Ronaldo ambao kila mechi ya Argentina wanalalamika inabebwa, mfano ni jana ile penati.

Tunajua ndio penalty nyingi kwenye mpira huwa zinaleta debates lakini Pale ilikuwa clear kabisa, Kipa alimfata mchezaji na kumvaa na kumuwekea na mguu kabisa ili asipite.

Haijalishi kama angeupata au asingeupata maana lengo la Alvarez ilikuwa kumla kanzu na kumzunguka kipa.

Lile tendo hata lingefanyika nje ya box, ni faulo kabisa ile, ila utakuta mashabiki lialia wa Ronaldo wanasema Argentina inabebwa.

View attachment 2446264
Mpira haupo hivyo wazee, this is just a game, acheni uhasama na ushabiki maandazi. Mkifanya hivyo mnaharibu hata ladha ya mpira.
Hauwezi kubishana na hao watu wana kelele hao, Mbwiga akasome.
 
Timu Andunje mnaweweseka sana, kwani si mmeshaandaliwa na FIFA mbebe kombe lenu la dunia kwa mbeleko ili Andunje wenu toka Argentina asistaafu bila ya kuwa na tuzo ya ubora sawa na Pele?

Tunajua mvua inyeshe au jua liwake tuna penalties zetu za kutosha tu fainali Vs timu yoyote ile itayoingia [emoji1732][emoji1]

Miss wenu ana nini kwani hadi kila mechi ikiwa inachezwa anawazonga zonga Marefa kuongea nao, hajiamini au anawakumbushia bahasha walizotembezewa ili wasiwasahau kuwabeba Argentina [emoji848][emoji16]
Mungu akusaidie asee. Mateso unayopitia ni makubwa mno!
 
Timu Andunje mnaweweseka sana, kwani si mmeshaandaliwa na FIFA mbebe kombe lenu la dunia kwa mbeleko ili Andunje wenu toka Argentina asistaafu bila ya kuwa na tuzo ya ubora sawa na Pele?

Tunajua mvua inyeshe au jua liwake tuna penalties zetu za kutosha tu fainali Vs timu yoyote ile itayoingia [emoji1732][emoji1]

Miss wenu ana nini kwani hadi kila mechi ikiwa inachezwa anawazonga zonga Marefa kuongea nao, hajiamini au anawakumbushia bahasha walizotembezewa ili wasiwasahau kuwabeba Argentina [emoji848][emoji16]
Hizi ni chuki na ushabiki maandazi haifurahishi
 
Back
Top Bottom