MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Kiwango cha Simba kinazidi kuporomoka mno. Mbaya zaidi ni kama wanachama na mashabiki tumekubaliana na hii hali. Tunapaswa kuhoji viongozi wetu, huu ni muda wa uwajibikaji.
1) Kwanini Chama hachezi? Wanaficha nini?
2) Issue ya Morrison ni dhahiri imekaa kihuni hatuambiwi ukweli
3) Kwanini tumejaza professionals ambao hawatumiki?
4) Kwanini morali ya timu ipo chini sana?
Ni muhimu tuamke tudai mabadiliko sasa bila kujali msimu upo hatua gani. Timu inacheza ovyo mfululizo na hakuna hatua za msingi kuleta mabadiliko. Tumewapa Yanga ubingwa kijinga!
Viongozi wetu hawafanyi kazi bila pressure, tumevumilia inatosha! Tujue hatma ya timu sasa!
Kiwango cha Simba kinazidi kuporomoka mno. Mbaya zaidi ni kama wanachama na mashabiki tumekubaliana na hii hali. Tunapaswa kuhoji viongozi wetu, huu ni muda wa uwajibikaji.
1) Kwanini Chama hachezi? Wanaficha nini?
2) Issue ya Morrison ni dhahiri imekaa kihuni hatuambiwi ukweli
3) Kwanini tumejaza professionals ambao hawatumiki?
4) Kwanini morali ya timu ipo chini sana?
Ni muhimu tuamke tudai mabadiliko sasa bila kujali msimu upo hatua gani. Timu inacheza ovyo mfululizo na hakuna hatua za msingi kuleta mabadiliko. Tumewapa Yanga ubingwa kijinga!
Viongozi wetu hawafanyi kazi bila pressure, tumevumilia inatosha! Tujue hatma ya timu sasa!