Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa tunawakojoleaHuko ulipo mnawafuga au? Kambi ya Fisi
Ama kweli 🐸🐸ni 🐸tu@Kambi ya Fisi ngoja mtandikwe na vijana wa uvinza ndo utaelewa
unaandika kama unakwaruzwa na mpini wa jembe.Tafta hapahap jeiefu nyuz nyingi ni yanga yanga
Kaa kwa kutulia we mbumbumbuunaandika kama unakwaruzwa na mpini wa jembe.
kwaio hata kutafuta huo ushahidi hujui?,kweli mashabiki wa Uto hamnazo.
ona ushahidi huu mlivyo mabwege wa kuitakia Simba mabaya
[emoji116]
Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban
[emoji23][emoji23]
- Labani og
- Post #420
- Saturday at 7:08 PM
- Forum: Jamii Sports
kuandika hujui,unaambiwa weka ushahidi pia hujui.eti"tafuta humuhumu jeiefu.,,jeiefu ndio nini wewe gwedegwede?Kaa kwa kutulia we mbumbumbu
kuandika hujui,unaambiwa weka ushahidi pia hujui.eti"tafuta humuhumu jeiefu.,,jeiefu ndio nini wewe gwedegwede?
umewaza mbali sana bedeshe Tresor Mandala.🙏Watanzania wote tu mnafanana...maana hata wewe mleta mada ambae ni Yanga unaisema Simba na unataka wana Yanga wenzio nao waiseme simba
Azamu anakula chuma 5, baada ya hapo mamelodi anakuja nae ana kula chuma 5 vilevile kama kawaida 🐒Kwemaaaa?
Hawa watu sijui wapoje, wao muda wote wanajadili yanga utadhani wao hawana mechi,.
Mbumbumbu tumieni huo muda kujadili namna ya kumtoa mwarabu, ohoooooooo msije mkasema hamkuambiwa
Kwahiyo unaona kwamba kuandika jamiiforums au (JF) nashindwa au ama kweli umbumbumbu nao ni kaziYanga kwa Mamelodi wameyatimba, wasubiri mwakani
Nyie utopolo kucheza na Mamelodi ni kuyatimba, wameahidi kuwapiga bao 6 pale afrika kusini. Kazi mnayo, msiba mkubwa kwa Taifawww.jamiiforums.com
Yanga kwa Mamelodi wameyatimba, wasubiri mwakani
hiyo hapo w mbumbumbu
Boh ..njo vile unasumbulia mimi hivi ? Papaa mie napenda msumbuliniane futubolu ile bienumewaza mbali sana bedeshe Tresor Mandala.🙏
boh mutu mukubwa.
papaa ya bana.
boh mutu iko na akili mingi.
baada ya Mungu,malaika,manabii unafata wewe.😂😅
bado hujui kuandika,👆hapo umeandika kitu gani wewe gwedegwede.Kwahiyo unaona kwamba kuandika jamiiforums au (JF) nashindwa au ama kweli umbumbumbu nao ni kazi
Kunyume chake pia ni sahihiKwemaaaa?
Hawa watu sijui wapoje, wao muda wote wanajadili yanga utadhani wao hawana mechi,.
Mbumbumbu tumieni huo muda kujadili namna ya kumtoa mwarabu, ohoooooooo msije mkasema hamkuambiwa
unajitia kidole alafu unanipa mimi ninuse,nusa mwenyewe mbuzi wa jangwani wewe gwedegwede.Aliyeandika hapa ni mtu au kuku amekwaruza. alafu chukua uhai ya buku hapo unywe upunguze jazba, nyau wewe.