Mashabiki wa Simba bwana muda wote wanajadili Yanga

Mwanamke lazima amjadili mumewe kila mara kwasababu ya mahaba motomoto anayopewa!
 
Watanzania wote tu mnafanana...maana hata wewe mleta mada ambae ni Yanga unaisema Simba na unataka wana Yanga wenzio nao waiseme simba
umewaza mbali sana bedeshe Tresor Mandala.πŸ™

boh mutu mukubwa.
papaa ya bana.
boh mutu iko na akili mingi.
baada ya Mungu,malaika,manabii unafata wewe.πŸ˜‚πŸ˜…
 
Kwemaaaa?

Hawa watu sijui wapoje, wao muda wote wanajadili yanga utadhani wao hawana mechi,.

Mbumbumbu tumieni huo muda kujadili namna ya kumtoa mwarabu, ohoooooooo msije mkasema hamkuambiwa
Azamu anakula chuma 5, baada ya hapo mamelodi anakuja nae ana kula chuma 5 vilevile kama kawaida πŸ’
 
Kwahiyo unaona kwamba kuandika jamiiforums au (JF) nashindwa au ama kweli umbumbumbu nao ni kazi
 
umewaza mbali sana bedeshe Tresor Mandala.πŸ™

boh mutu mukubwa.
papaa ya bana.
boh mutu iko na akili mingi.
baada ya Mungu,malaika,manabii unafata wewe.πŸ˜‚πŸ˜…
Boh ..njo vile unasumbulia mimi hivi ? Papaa mie napenda msumbuliniane futubolu ile bien
 
kuandika hujui,unaambiwa weka ushahidi pia hujui.eti"tafuta humuhumu jeiefu.,,jeiefu ndio nini wewe gwedegwede?
Aliyeandika hapa ni mtu au kuku amekwaruza. alafu chukua uhai ya buku hapo unywe upunguze jazba, nyau wewe.
 
Yanga na mamelodi ni mabingwa wa nchi zao watakapokutana nyasi ndiyo zitaumia . Fainali imekuja mapema .
 
Kwemaaaa?

Hawa watu sijui wapoje, wao muda wote wanajadili yanga utadhani wao hawana mechi,.

Mbumbumbu tumieni huo muda kujadili namna ya kumtoa mwarabu, ohoooooooo msije mkasema hamkuambiwa
Kunyume chake pia ni sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…