Mashabiki wa Simba hawakuwa hivi

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Siku hizi kuna tabia ya ajabu imezuka sijui inetokana na nini asilimia 95 ya posti za watu wa simba zinaizungumzia yanga iwe fb,jf,twitter ,goOgle,vijiweni,redioni,nk,hawaoni ya timu yao wakiamka asubhi ni yanga,....yanga...yanga wengine wameona haitoshi wanataka wafanye mkutano kwenye jengo la yanga ..wanasaikolojia tusaidieni hapa..huko nyuma hawakuwa hivi
 
Wamezoea ndumba ao mikia asee lazima wachanganyikiwe....





Daima mbele dar young african
 
Simba dume anapatikana mitaa ya msimbazi.. Yanga a.k.a MWAJUMA NDALA NDEEEEEEFUUUUUU acheni hizo huu ni mpira
 
Yanga hata ichukue ubingwa isipoifunga Simba hawaheshimiki.
 
Hunijui sikujui. Maisha ya mtu ni private. Ongelea habari za mikia na si kumuattack mtu binafsi. Hii ni akili ndogo.

Mkuu kalale tu,naomba ulale una hangover
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…