Mashabiki wa Simba kuweni wastaarabu basi

Mashabiki wa Simba kuweni wastaarabu basi

Vipi sio wewe ulioteshwa kwamba Simba atafungwa goli 1 na Galaxy na Chama atakosa penalti?
Ndoto iliisha salama au ulijinyea?
Kwenye kila posti inayopostiwa hapa na wapenzi wa Utopolo asilimia 90 zinawahusu Simba.
Ndio maana msemaji kazimia kuingia robo fainali.
 
Back
Top Bottom