Mashabiki wa Simba kwanini mnafuraha na draw ya Al Ahly Tripoli?

Sawa kama mlivyomaliza kwa Galaxy na UD Songo
Nilikwambia mechi iliisha kwao, ndio maana tukafurahia ile sare
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Ukiangalia mechi ya Libya, Al Ahly iliwazidi uwezo, kwahiyo hata kwa Mkapa watalazimika kukaa nyuma tu, na ikitokea Al Ahly akipata goli moja au draw yoyote ya magoli basi Simba OUT
Njoo basi utetee maekezo yako, msijifiche huko. Kwamba Simba watalazimika kukaa nyuma tu!
 
Nadhani majibu umeyapata sasa
 
Utopolooooooo
Utopolooooooo
Utopololooooo
 
Salama bwana Mpwimbe!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…