Mashabiki wa Simba mna tatizo kubwa sana, sio bure

Mashabiki wa Simba mna tatizo kubwa sana, sio bure

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.

Kingine Mimi sio shabiki wa simba.

Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.

Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.

Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?

Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?

Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu

Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.

Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.

Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.

#MLALE UNONO
 
Picha????
Picha????
3ad62ee8-8be4-496e-a8a2-de213a2556b5.jpeg
 

Attachments

  • 5861a18d-c9c6-41c7-8f4a-e477789d0cf7.jpeg
    5861a18d-c9c6-41c7-8f4a-e477789d0cf7.jpeg
    210.1 KB · Views: 5
  • cc8040d7-3f45-45f5-821d-8f4bda10cc35.jpeg
    cc8040d7-3f45-45f5-821d-8f4bda10cc35.jpeg
    115.1 KB · Views: 6
Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.

Kingine Mimi sio shabiki wa simba.

Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.

Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.

Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?

Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?

Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu

Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.

Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.

Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.

#MLALE UNONO
Kapimwe akili
 
Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.

Kingine Mimi sio shabiki wa simba.

Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.

Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.

Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?

Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?

Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu

Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.

Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.

Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.

#MLALE UNONO
Inakuhusu nini boya weweee. Kwahiyo wewe ndiyo una akili kwenye ukoo wenu.
 
Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.

Kingine Mimi sio shabiki wa simba.

Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.

Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.

Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?

Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?

Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu

Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.

Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.

Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.

#MLALE UNONO
Nitaendelea kuuliza swali hili mpaka mtqkqponijibu maana mnqnikwepa.
Wapi uliona Brand name inafupiahwa ikiwa na neno moja? Ikifupishwa inaondoa maana nzima ya jina. Ingekuwaje kama Pepsi ingefupishwa Pep? KUMALIJA CO. LTD nayo ingefupishwa!!
 
Nani huyo anasema jezi mbaya?? Akapimwe mkojo...nimenunua zote 3 ninazo nabadilisha tuu..leo na jinzi kesho na taiti bamba keshokutwa na kikaptula...
#SANDA# ni jina tuu kama ukiamua kufupisha jina lako...
Nibariki basi hako kapicha kako cha Taiti hapo DM😞👏
 
Nitaendelea kuuliza swali hili mpaka mtqkqponijibu maana mnqnikwepa.
Wapi uliona Brand name inafupiahwa ikiwa na neno moja? Ikifupishwa inaondoa maana nzima ya jina. Ingekuwaje kama Pepsi ingefupishwa Pep? KUMALIJA CO. LTD nayo ingefupishwa!!
Umepitia Memorandum na Article of Associations za SANDALAND?

Kama kuna Altertions ya jina unajua au nalo unataka pale kampuni inapofanya Alteration yeyote wawe wanatoa Notice hadi kwenu mashabiki wa Simba kua jaman njoo kwenye kikaoo cha shareholders tunafanya Alteration ya jina?
 
Back
Top Bottom