Mashabiki wa Simba mna tatizo kubwa sana, sio bure

Mashabiki wa Simba mna tatizo kubwa sana, sio bure

Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.

Kingine Mimi sio shabiki wa simba.

Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.

Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.

Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?

Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?

Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu

Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.

Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.

Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.

#MLALE UNONO
Kwa nini uongozi haumwambii sandaland kuwa licha ya kwamba yeye ni kot supplier, aandike ktk jezi jina au nembo ambayo ni brand yake, sio kuanza kjandika majina yake... kesho ataandika jina la ukoo wake.. Mie simba ila hizi sinunui.
 
A
Umepitia Memorandum na Article of Associations za SANDALAND?

Kama kuna Altertions ya jina unajua au nalo unataka pale kampuni inapofanya Alteration yeyote wawe wanatoa Notice hadi kwenu mashabiki wa Simba kua jaman njoo kwenye kikaoo cha shareholders tunafanya Alteration ya jina?
Acha ujuaji wa Kindezi.Neno Sanda hatulitaki sasa hata kama sijui Memorandum au Notice.
Hatulitaki full stop
 
Nani huyo anasema jezi mbaya?? Akapimwe mkojo...nimenunua zote 3 ninazo nabadilisha tuu..leo na jinzi kesho na taiti bamba keshokutwa na kikaptula...
#SANDA# ni jina tuu kama ukiamua kufupisha jina lako...
HUPENDEZI
 
Nani huyo anasema jezi mbaya?? Akapimwe mkojo...nimenunua zote 3 ninazo nabadilisha tuu..leo na jinzi kesho na taiti bamba keshokutwa na kikaptula...
#SANDA# ni jina tuu kama ukiamua kufupisha jina lako...
Sanda 5-1
1721925754939.jpg
 
Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.

Kingine Mimi sio shabiki wa simba.

Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.

Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.

Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?

Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?

Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu

Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.

Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.

Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.

#MLALE UNONO
Shida Uto wanatuzodoa sana. Kama sio Uto kutuzodoa sisi tungekaa kimya na jersy zetu tukifurahia.
Ukijumisha Ile 5 1 MBA inazidi kutuchangwnya.
 
Umetumia utafiti gani kuwa mashabiki wote tumeinanga hiyo jezi?


Mkuu acha kukurupuka mwishowe uone unadharauliwa bure.
 
Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.

Kingine Mimi sio shabiki wa simba.

Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.

Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.

Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?

Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?

Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu

Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.

Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.

Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.

#MLALE UNONO
Makolo ni Manguruwe tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nani huyo anasema jezi mbaya?? Akapimwe mkojo...nimenunua zote 3 ninazo nabadilisha tuu..leo na jinzi kesho na taiti bamba keshokutwa na kikaptula...
#SANDA# ni jina tuu kama ukiamua kufupisha jina lako...
Masponsor wanaumia sana, yani oesa yako ya kikoba unaweza kununuwa jezi pair tatu kweli? Muwaonee huruma jamani wana familia pia.
 
Ndiomaana jana nikuona na sister, nilimuuliza sister yule uliyekuwa nae mwenye msambwanda ni nani akanijibu shosti yake, una tako zuri bint kama umetokea kwa kagame.
Kijana bana yaishe ๐Ÿ˜€asee
 
Masponsor wanaumia sana, yani oesa yako ya kikoba unaweza kununuwa jezi pair tatu kweli? Muwaonee huruma jamani wana familia pia.
Sasa na mimi si napenda tuu kuvaa jamani? Sinywi pombe..simlii hela zake nyingi...๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Wanaopiga kelele kuhusu Sanda ni mashabiki wa Yanga sio wa Simba
 
Back
Top Bottom