Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
๐๐๐๐jina linafupishwa kwa nyuma...mpuuzi wewe๐๐๐ฌ๐ฌ๐ฌukiitwa Pana ni sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐jina linafupishwa kwa nyuma...mpuuzi wewe๐๐๐ฌ๐ฌ๐ฌukiitwa Pana ni sawa?
Kwa nini uongozi haumwambii sandaland kuwa licha ya kwamba yeye ni kot supplier, aandike ktk jezi jina au nembo ambayo ni brand yake, sio kuanza kjandika majina yake... kesho ataandika jina la ukoo wake.. Mie simba ila hizi sinunui.Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.
Kingine Mimi sio shabiki wa simba.
Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.
Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.
Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?
Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?
Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu
Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.
Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.
Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.
#MLALE UNONO
Hahahahaha๐๐๐๐jina linafupishwa kwa nyuma...mpuuzi wewe๐๐๐ฌ๐ฌ๐ฌ
Acha ujuaji wa Kindezi.Neno Sanda hatulitaki sasa hata kama sijui Memorandum au Notice.Umepitia Memorandum na Article of Associations za SANDALAND?
Kama kuna Altertions ya jina unajua au nalo unataka pale kampuni inapofanya Alteration yeyote wawe wanatoa Notice hadi kwenu mashabiki wa Simba kua jaman njoo kwenye kikaoo cha shareholders tunafanya Alteration ya jina?
HUPENDEZINani huyo anasema jezi mbaya?? Akapimwe mkojo...nimenunua zote 3 ninazo nabadilisha tuu..leo na jinzi kesho na taiti bamba keshokutwa na kikaptula...
#SANDA# ni jina tuu kama ukiamua kufupisha jina lako...
Sanda 5-1Nani huyo anasema jezi mbaya?? Akapimwe mkojo...nimenunua zote 3 ninazo nabadilisha tuu..leo na jinzi kesho na taiti bamba keshokutwa na kikaptula...
#SANDA# ni jina tuu kama ukiamua kufupisha jina lako...
Hulitaki wewe na nani?A
Acha ujuaji wa Kindezi.Neno Sanda hatulitaki sasa hata kama sijui Memorandum au Notice.
Hatulitaki full stop
Shida Uto wanatuzodoa sana. Kama sio Uto kutuzodoa sisi tungekaa kimya na jersy zetu tukifurahia.Nianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.
Kingine Mimi sio shabiki wa simba.
Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.
Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.
Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?
Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?
Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu
Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.
Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.
Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.
#MLALE UNONO
Na dada yakoHulitaki wewe na nani?
Makolo ni Manguruwe tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNianze kwa kusema nimeiona jezi ya Simba na mimi nimevutiwa na ile nyeupe.
Kingine Mimi sio shabiki wa simba.
Ila kwa kinachoendelea kimenifanya nione kua kumbe wana simba mna MATATIZO sana katika Akili yenu.
Leo Mnamuita SANDALAND anawa hujumu katoa jezi Mbaya Mara kaandika Neno SANDA mbele ya Jezi.
Mnashaanza kushinikiza Viongozi kua Wamwambie SANDALAND atoe hio SANDA au wavunje Mkataba na SANDALAND hivi Mnaelewa mnachokiongea Nyi?
Ni waulize Mnataka kusema SANDALAND ametoa Jezi ambayo viongozi walikua hawajazipitia? hizo picha za ku introduce hio jezi mnataka kusema zimepigwa Leo?
Mna force SANDALAND aingie kwenye Hasara? kisa hisia zenu
Kama SANDALAND kakosea Viongozi walitakiwa kuliona hilo toka Mwanzo ila kwa Viongozi hilo halikuonekana na walichukulia la kawaida sana ila Nyie mshaanza kuleta Lawama.
Kama hamununui Jezi zenu tutazinunua sisi ambao sio Mashabiki wenu na tutazivaa.
Kwa Namna hii hata huyu Kocha mlie nae mtafurusha Soon tena nyie MASHABIKI na sio VIONGOZI watako mfukuza.
#MLALE UNONO
Kwa hakika Makolo ni timu ya ajabu sana!
Ndiomaana jana nikuona na sister, nilimuuliza sister yule uliyekuwa nae mwenye msambwanda ni nani akanijibu shosti yake, una tako zuri bint kama umetokea kwa kagame.Na dada yako
Masponsor wanaumia sana, yani oesa yako ya kikoba unaweza kununuwa jezi pair tatu kweli? Muwaonee huruma jamani wana familia pia.Nani huyo anasema jezi mbaya?? Akapimwe mkojo...nimenunua zote 3 ninazo nabadilisha tuu..leo na jinzi kesho na taiti bamba keshokutwa na kikaptula...
#SANDA# ni jina tuu kama ukiamua kufupisha jina lako...
Kijana bana yaishe ๐aseeNdiomaana jana nikuona na sister, nilimuuliza sister yule uliyekuwa nae mwenye msambwanda ni nani akanijibu shosti yake, una tako zuri bint kama umetokea kwa kagame.
Sasa na mimi si napenda tuu kuvaa jamani? Sinywi pombe..simlii hela zake nyingi...๐๐๐Masponsor wanaumia sana, yani oesa yako ya kikoba unaweza kununuwa jezi pair tatu kweli? Muwaonee huruma jamani wana familia pia.