Mashabiki wa Simba, msipumbazike na goli saba na kujiona tayari mmeshapata kombe la CAF

Mashabiki wa Simba, msipumbazike na goli saba na kujiona tayari mmeshapata kombe la CAF

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nani ambaye hajatazama mchezo wa horoya dhidi ya simba, horoya wakiwa nyumbani??

Kosa kosa ya magoli laiti Kama simba wangekuwa na washambulizi hatari Kama fistoni kalala mayele au hata Clement mzinze hakika simba ingepata ushindi mnono.

Lakini kutokana na kikosi duni Cha simba waliambulia patupu nakupoteza pointi mbele ya timu duni ambapo laiti Kama simba angetulia angepata magoli mbele ya timu dhaifu horoya.

Nani ambaye hakutazama mchezo wa vipers dhidi ya simba, ambapo simba ilikua ugenini??

Mchezo ulikuwa mwepesi pande zote mbili lakini kutokana na udhaifu wa simba ilipata matokeo duni ndivyo hivyo hivyo kwa vipers nao walikua na kikosi duni kabisa kilichowakosesha matokeo mbele ya simba.

Nani alitazama game ya simba dhidi ya horoya, simba akishinda goli Saba mbele ya horoya??

Binafsi siwezi kupiga makofi nakusema kuwa simba ni Bora maana walikutana na kikosi dhaifu tu.

Nitapiga makofi na kuisifu simba endapo ataifunga rajacasablanca, mamelodi Al ahly au Al hilal hizo ndiyo timu bora kwa Sasa kwenye mashindano haya.

Nashangazwa na makelele ya mashabiki waliokuwa wakipiga keleke kuwa simba hii ya Sasa ni mbovu wamepumbazwa na goli saba wakiamini kuwa simba imerejesha makali yake.

My take simba ni mbovu tu ila kwa kuwa wanakutana na wabovu zaidi inawafariji mashabiki na kuendelea kuona kuwa simba timu bora kwa sasa, mashabiki msijipe moyo ngoja timu yenu ikutane na timu bora ndipo mtakapo Anza kuimba nyimbo yenu ile yakukataa wachezaji wazeee ndani ya kikosi.
 
Nani ambaye hajatazama mchezo wa horoya dhidi ya simba, horoya wakiwa nyumbani??

Kosa kosa ya magoli laiti Kama simba wangekua na washambulizi hatari Kama fistoni kalala mayele au hata Clement mzinze hakika simba ingepata ushindi mnono.

Lakini kutokana na kikosi duni Cha simba waliambulia patupu nakupoteza pointi mbele ya timu duni ambapo laiti Kama simba angetulia angepata magoli mbele ya timu dhaifu horoya.

Nani ambaye hakutazama mchezo wa vipers dhidi ya simba, ambapo simba ilikua ugenini??

Mchezo ulikua mwepesi pande zote mbili lakini kutokana na udhaifu wa simba ilipata matokeo duni ndivyo hivyo hivyo kwa vipers nao walikua na kikosi duni kabisa kilichowakosesha matokeo mbele ya simba.

Nani alitazama game ya simba dhidi ya horoya, simba akishinda goli Saba mbele ya horoya??

Binafsi siwezi kupiga makofi nakusema kuwa simba ni Bora maana walikutana na kikosi dhaifu tu.

Nitapiga makofi na kuisifu simba endapo ataifunga rajacasablanca, mamelodi Al ahly au Al hilal hizo ndiyo timu bora kwa Sasa kwenye mashindano haya.

Nashangazwa na makelele ya mashabiki waliokuwa wakipiga keleke kuwa simba hii ya Sasa ni mbovu wamepumbazwa na goli saba wakiamini kuwa simba imerejesha makali yake.

My take simba ni mbovu tu ila kwa kuwa wanakutana na wabovu zaidi inawafariji mashabiki na kuendelea kuona kuwa simba timu bora kwa sasa, mashabiki msijipe moyo ngoja timu yenu ikutane na timu bora ndipo mtakapo Anza kuimba nyimbo yenu ile yakukataa wachezaji wazeee ndani ya kikosi.
Vipers ni wa bovu ila ndo waliwakanda Yanga 2 bila ina mana yanga ni wabovu kuliko vipers
 
Wewe utakuwa chizi. Kwamba al ahly ni kipimo sahihi kwa simba al ahly hii mbovu, simba iko vizuri bwana alaf hii ni champions league bwana kama ni mdebwedo na yanga ingekuwamo bas ndio tukauona ubora wa hao striker wenu
Al ahly mbovu unazani ishatoka hiyo ngoja uone namna gani al hilal atakavyopelekewa Moto.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wewe utakuwa chizi. Kwamba al ahly ni kipimo sahihi kwa simba al ahly hii mbovu, simba iko vizuri bwana alaf hii ni champions league bwana kama ni mdebwedo na yanga ingekuwamo bas ndio tukauona ubora wa hao striker wenu
Kwa hiyo wewe na UPOYOYO wako huo ndiyo unataka kutuambia kuwa simba anakikiosi Bora kuliko Al ahly

Kweli mashabiki wa simba ni mbumbumbu nimeamini.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nani ambaye hajatazama mchezo wa horoya dhidi ya simba, horoya wakiwa nyumbani??

Kosa kosa ya magoli laiti Kama simba wangekua na washambulizi hatari Kama fistoni kalala mayele au hata Clement mzinze hakika simba ingepata ushindi mnono.

Lakini kutokana na kikosi duni Cha simba waliambulia patupu nakupoteza pointi mbele ya timu duni ambapo laiti Kama simba angetulia angepata magoli mbele ya timu dhaifu horoya.

Nani ambaye hakutazama mchezo wa vipers dhidi ya simba, ambapo simba ilikua ugenini??

Mchezo ulikua mwepesi pande zote mbili lakini kutokana na udhaifu wa simba ilipata matokeo duni ndivyo hivyo hivyo kwa vipers nao walikua na kikosi duni kabisa kilichowakosesha matokeo mbele ya simba.

Nani alitazama game ya simba dhidi ya horoya, simba akishinda goli Saba mbele ya horoya??

Binafsi siwezi kupiga makofi nakusema kuwa simba ni Bora maana walikutana na kikosi dhaifu tu.

Nitapiga makofi na kuisifu simba endapo ataifunga rajacasablanca, mamelodi Al ahly au Al hilal hizo ndiyo timu bora kwa Sasa kwenye mashindano haya.

Nashangazwa na makelele ya mashabiki waliokuwa wakipiga keleke kuwa simba hii ya Sasa ni mbovu wamepumbazwa na goli saba wakiamini kuwa simba imerejesha makali yake.

My take simba ni mbovu tu ila kwa kuwa wanakutana na wabovu zaidi inawafariji mashabiki na kuendelea kuona kuwa simba timu bora kwa sasa, mashabiki msijipe moyo ngoja timu yenu ikutane na timu bora ndipo mtakapo Anza kuimba nyimbo yenu ile yakukataa wachezaji wazeee ndani ya kikosi.
Al hilal bora kwa sababu yanga iliwatoa? Ktk hizo timu ulizotaja,ni timu mbili pekee ambazo hazijafungwa na Simba ambazo ni Raja Casablanca na Mamelod sundown tu.
 
Nani ambaye hajatazama mchezo wa horoya dhidi ya simba, horoya wakiwa nyumbani??

Kosa kosa ya magoli laiti Kama simba wangekua na washambulizi hatari Kama fistoni kalala mayele au hata Clement mzinze hakika simba ingepata ushindi mnono.

Lakini kutokana na kikosi duni Cha simba waliambulia patupu nakupoteza pointi mbele ya timu duni ambapo laiti Kama simba angetulia angepata magoli mbele ya timu dhaifu horoya.

Nani ambaye hakutazama mchezo wa vipers dhidi ya simba, ambapo simba ilikua ugenini??

Mchezo ulikua mwepesi pande zote mbili lakini kutokana na udhaifu wa simba ilipata matokeo duni ndivyo hivyo hivyo kwa vipers nao walikua na kikosi duni kabisa kilichowakosesha matokeo mbele ya simba.

Nani alitazama game ya simba dhidi ya horoya, simba akishinda goli Saba mbele ya horoya??

Binafsi siwezi kupiga makofi nakusema kuwa simba ni Bora maana walikutana na kikosi dhaifu tu.

Nitapiga makofi na kuisifu simba endapo ataifunga rajacasablanca, mamelodi Al ahly au Al hilal hizo ndiyo timu bora kwa Sasa kwenye mashindano haya.

Nashangazwa na makelele ya mashabiki waliokuwa wakipiga keleke kuwa simba hii ya Sasa ni mbovu wamepumbazwa na goli saba wakiamini kuwa simba imerejesha makali yake.

My take simba ni mbovu tu ila kwa kuwa wanakutana na wabovu zaidi inawafariji mashabiki na kuendelea kuona kuwa simba timu bora kwa sasa, mashabiki msijipe moyo ngoja timu yenu ikutane na timu bora ndipo mtakapo Anza kuimba nyimbo yenu ile yakukataa wachezaji wazeee ndani ya kikosi.
we ongea ila ndio tumeshapanda na viwango wa 7 sasa Africa..
 
Back
Top Bottom