Mashabiki wa Simba, msipumbazike na goli saba na kujiona tayari mmeshapata kombe la CAF

Mashabiki wa Simba, msipumbazike na goli saba na kujiona tayari mmeshapata kombe la CAF

Horoya mbovu? Hii ndio timu Bora West Africa kwa wakati huu, kwenye Africa Super 8 league imo.
Walianza kwa de agosto,ilipofungwa nje ndani wakasema ni mbovu,,wakaja kwa vipers,ilipopigwa nje ndani wakasema ni mbovu,wakaja kwa Horoya waliipamba sana,ilipopigwa 7 bila wakasema mbovu nayo,so hao jamaa wa utopolo,timu ngangari kwao ni ile itakayo mfunga simba hata kama ikiwa ni polisi bandari ya Kenya
 
Sasa huyo Mayele alikuwa wapi pindi mnatolewa championship au alikuwa bado hajasajiliwa?! Watu wa Yanga mamlaka ya kuongelea timu ambayo hampo nayo daraja moja mnaitolewa wapi!? Nyie ndio mabingwa cha ajabu hamchezi hilo kombe la mabingwa alafu mnaanza kuleta porojo ooh horoya dhaifu nyie kiko wapi! Ongeleen ubora wa kikosi chenu chenye akina mayele na bado mko shirikisho
 
Kwani wew ubora wa kikosi chochote unaupima kwa mambo yapi? Yaorodheshe hapa then tuyaangalia kweny kikosi cha simba.
 
Furaha imekua kubwa sana kuliko malengo mliyojiwekea kana kwamba mmeshapata kombe lenu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kaka, Timu ipo Robo Fainali ligi ya MABINGWA Africa, Timu itasiriki Super League Africa kati ya timu 8 Simba hiyooo, Ipo nafasi ya pili kwenye ligi ya TZ, yaani inamhemea Yanga kwa nyuma, Timu inacheza pira bilian, timu immemchapa mtu 7 mtungi.. Tena aliyechapwa 7 naye yumo kwenye Super Africa League yaani timu Kubwa..

Sasa hapo sheikh ukilala unapiga makelele ni nongwa ?
 
Duh! Kwani kikosi cha kina kagere na Asante kwasi kilimchomfunga Al ahly,kilikuwa na ubora kukizidi hiki cha sasa? I think hiki cha sasa ni bora kuliko kile cha akina Asante kwasi,na kinachofanya kionekane kibovu kupitiliza kikosi cha sasa ni propaganda propaganda za watu wa yanga na kuimarika zaidi kikosi cha yanga.kama kikosi cha yanga kingekuwa tia maji tia maji sasa hivi usingeona ubovu huo unaotajwa wa kikosi cha Simba,ila naamini Simba hii ambayo inabezwa inaweza kufika nusu fainali kuliko ile ya kina miqussion tuliyotegmea ingefanya makubwa.
Wewe unaongelea ushabiki Bali siyo uhalisia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kaka, Timu ipo Robo Fainali ligi ya MABINGWA Africa, Timu itasiriki Super League Africa kati ya timu 8 Simba hiyooo, Ipo nafasi ya pili kwenye ligi ya TZ, yaani inamhemea Yanga kwa nyuma, Timu inacheza pira bilian, timu immemchapa mtu 7 mtungi.. Tena aliyechapwa 7 naye yumo kwenye Super Africa League yaani timu Kubwa..

Sasa hapo sheikh ukilala unapiga makelele ni nongwa ?
Hapo ndiyo mwisho wenu, kuwafunga vibonde msijiaminishe kuwa nyinyi ni Bora.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa huyo Mayele alikuwa wapi pindi mnatolewa championship au alikuwa bado hajasajiliwa?! Watu wa Yanga mamlaka ya kuongelea timu ambayo hampo nayo daraja moja mnaitolewa wapi!? Nyie ndio mabingwa cha ajabu hamchezi hilo kombe la mabingwa alafu mnaanza kuleta porojo ooh horoya dhaifu nyie kiko wapi! Ongeleen ubora wa kikosi chenu chenye akina mayele na bado mko shirikisho
Mbona povu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nani ambaye hajatazama mchezo wa horoya dhidi ya simba, horoya wakiwa nyumbani??

Kosa kosa ya magoli laiti Kama simba wangekuwa na washambulizi hatari Kama fistoni kalala mayele au hata Clement mzinze hakika simba ingepata ushindi mnono.

Lakini kutokana na kikosi duni Cha simba waliambulia patupu nakupoteza pointi mbele ya timu duni ambapo laiti Kama simba angetulia angepata magoli mbele ya timu dhaifu horoya.

Nani ambaye hakutazama mchezo wa vipers dhidi ya simba, ambapo simba ilikua ugenini??

Mchezo ulikuwa mwepesi pande zote mbili lakini kutokana na udhaifu wa simba ilipata matokeo duni ndivyo hivyo hivyo kwa vipers nao walikua na kikosi duni kabisa kilichowakosesha matokeo mbele ya simba.

Nani alitazama game ya simba dhidi ya horoya, simba akishinda goli Saba mbele ya horoya??

Binafsi siwezi kupiga makofi nakusema kuwa simba ni Bora maana walikutana na kikosi dhaifu tu.

Nitapiga makofi na kuisifu simba endapo ataifunga rajacasablanca, mamelodi Al ahly au Al hilal hizo ndiyo timu bora kwa Sasa kwenye mashindano haya.

Nashangazwa na makelele ya mashabiki waliokuwa wakipiga keleke kuwa simba hii ya Sasa ni mbovu wamepumbazwa na goli saba wakiamini kuwa simba imerejesha makali yake.

My take simba ni mbovu tu ila kwa kuwa wanakutana na wabovu zaidi inawafariji mashabiki na kuendelea kuona kuwa simba timu bora kwa sasa, mashabiki msijipe moyo ngoja timu yenu ikutane na timu bora ndipo mtakapo Anza kuimba nyimbo yenu ile yakukataa wachezaji wazeee ndani ya kikosi.
Limbukeni wa kuanzisha threads, halafu unajiona mwerevuuuu kumbe una andika pumba tu muda wote. Baada ya kusikia kuwa huwa kuna washindi wa majukwaa ya jamiiforum, basi umeamua kuwa unaleta vijimada uchwara na kujijibu mwenyewe.
 
Limbukeni wa kuanzisha threads, halafu unajiona mwerevuuuu kumbe una andika pumba tu muda wote. Baada ya kusikia kuwa huwa kuna washindi wa majukwaa ya jamiiforum, basi umeamua kuwa unaleta vijimada uchwara na kujijibu mwenyewe.
Hayo mashindano hayajaanza Leo toka miaka hiyo yapo nenda kaangalie nimejoin mwaka gani ndiyo uje kuzungumza pumba zako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Limbukeni wa kuanzisha threads, halafu unajiona mwerevuuuu kumbe una andika pumba tu muda wote. Baada ya kusikia kuwa huwa kuna washindi wa majukwaa ya jamiiforum, basi umeamua kuwa unaleta vijimada uchwara na kujijibu mwenyewe.
Wewe hapa ndiyo uliandika logic sana
Screenshot_20230328-121051.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom