Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28]Kwa wale wenzangu na mimi wa vibanda umiza ukiona jirani yako haongei usimsumbue kuepusha ugomvi
Kwa ratiba ya leo tuombe matokeo ya kufanana, maana mmoja akipigwa vibandani hapata kalika[emoji28]
Huyu ni Mtu halisi kabisa?Leo hii kila shabiki wa timu hizo mbili anafanya maombi ya kupata matokeo mazuri.
Nilichokipenda kwenye mechi za leo ni muda mmoja timu zote zinaingia uwanjani. Baada ya dakika 90 mbivu na mbichi zitajulikana.
View attachment 2750747
Mashine ipoe kwanza