Mashabiki wa Simba na Yanga leo kuna kulia na kucheka au kucheka na kulia

VanDon

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
396
Reaction score
680
Leo hii kila shabiki wa timu hizo mbili anafanya maombi ya kupata matokeo mazuri.

Nilichokipenda kwenye mechi za leo ni muda mmoja timu zote zinaingia uwanjani. Baada ya dakika 90 mbivu na mbichi zitajulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…