Mashabiki wa Simba na yanga ni Pasua Kichwa.

Mashabiki wa Simba na yanga ni Pasua Kichwa.

Heart Wood.

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
982
Reaction score
1,179
Hawa ni changamoto sana.

Timu ikishinda goli chache inatupiwa lawama kuwa kiwango kimeshuka.

Timu ikishinda goli nyingi wale wa upinzani wanasema timu iliyoshinda imenunua mechi na wachezaji.

Timu zao zikishindwa wanatokwa maneno hatari. Wiki nzima mtu atalaumu hatari. Kila mtu anajifanya kocha na mchambuzi wa soka.

Hawa ndugu hawaeleweki kabisa..

Hawana uvumilivu
Wepesi wa lawama
Kila mtu mjuaji
Wanawasema wachezaji wao vibaya kwa maneno ya kukatisha Tamaaa.

Jamani, kama hata Mungu anapewa changamoto na Shetani ije kuwa wanadamu?

Hebu kuweni wavumilivu na muongee kwa staha, acheni kuwatukana wachezaji, makocha na wadhamini wa timu.

Mara mchezaji huyu kanunuliwa, kahongwa sijui imekuwaje....yaani maneno ya dhihaka yasiyokuwa na ushahidi. Wakati performance ya mtu huwa inabadilika kutokana na hali. Mchezaji kajitahidi kucheza vizuri mechi 4 ila akikosea kidogo mechi ya 5 atazodolewa mpaka basi. Mnatia aibu sana katika dunia ya kistaarabu. Nyinyi huko mliko mnafanya mambo yenu vizuri kila siku? Mnakera sana..

Hao wadhamini mnaowarushia maneno ndo wamesaidia kwa pesa zao mpaka leo hii ligi yetu inakuwa miongoni mwa ligi bora Afrika.

Hivi kama isingekuwa hao wadhamini mnaowatukana kutwa nzima kuwa wanafanya hiki na kile, hizo timu ndogo zingepata hata nauli ya kusafiri kila siku? Wachezaji wangelala sehemu nzuri? Kuna timu zingekuwa zinalala kwenye mabweni ya wanafunzi.

Hebu kuweni wastaarabu basi. Mnaboa sana.
 
Hawa ni changamoto sana.



Timu ikishinda goli chache inatupiwa lawama kuwa kiwango kimeshuka.



Timu ikishinda goli nyingi wale wa upinzani wanasema timu iliyoshinda imenunua mechi na wachezaji.



Timu zao zikishindwa wanatokwa maneno hatari. Wili nzima mtu atalaumu hatari. Kila mtu anajifanya kocha na mchambuzi wa soka.



Hawa ndugu hawaeleweki kabisa..



Hawana uvumilivu

Wepesi wa lawama

Kila mtu mjuaji

Wanawasema wachezaji wao vibaya kwa maneno ya kukatisha Tamaaa.



Jamani, kama hata Mungu anapewa changamoto na Shetani ije kuwa wanadamu?



Hebu kuweni wavumilivu na muongee kwa staha, acheni kuwatukana wachezaji, makocha na wadhamini wa timu.



Hao wadhamini mnaowarushia maneno ndo wamesaidia kwa pesa zao mpaka leo hii ligi yetu inakuwa miongoni mwa ligi bora Afrika.



Hivi kama is isingekuwa hao wadhamini mnaowatukana kutwa nzima kuwa wanafanya hiki na kile, hizo timu ndogo zingepata hata nauli ya kusafiri kila siku? Wachezaji wangelala sehemu nzuri? Kuna timu zingekuwa zinalala kwenye mabweni ya wanafunzi.

sio kwelo

Hebu kuweni wastaarabu basi. Mnaboa sana.
 
Binadamu ni Kiumbe Mgumu Sana,,mnoo kumuelewa,,na wala usisumbukie hilo,,Fanya yako
 
Hawa ni changamoto sana.

Timu ikishinda goli chache inatupiwa lawama kuwa kiwango kimeshuka.

Timu ikishinda goli nyingi wale wa upinzani wanasema timu iliyoshinda imenunua mechi na wachezaji.

Timu zao zikishindwa wanatokwa maneno hatari. Wiki nzima mtu atalaumu hatari. Kila mtu anajifanya kocha na mchambuzi wa soka.

Hawa ndugu hawaeleweki kabisa..

Hawana uvumilivu
Wepesi wa lawama
Kila mtu mjuaji
Wanawasema wachezaji wao vibaya kwa maneno ya kukatisha Tamaaa.

Jamani, kama hata Mungu anapewa changamoto na Shetani ije kuwa wanadamu?

Hebu kuweni wavumilivu na muongee kwa staha, acheni kuwatukana wachezaji, makocha na wadhamini wa timu.

Mara mchezaji huyu kanunuliwa, kahongwa sijui imekuwaje....yaani maneno ya dhihaka yasiyokuwa na ushahidi. Wakati performance ya mtu huwa inabadilika kutokana na hali. Mchezaji kajitahidi kucheza vizuri mechi 4 ila akikosea kidogo mechi ya 5 atazodolewa mpaka basi. Mnatia aibu sana katika dunia ya kistaarabu. Nyinyi huko mliko mnafanya mambo yenu vizuri kila siku? Mnakera sana..

Hao wadhamini mnaowarushia maneno ndo wamesaidia kwa pesa zao mpaka leo hii ligi yetu inakuwa miongoni mwa ligi bora Afrika.

Hivi kama isingekuwa hao wadhamini mnaowatukana kutwa nzima kuwa wanafanya hiki na kile, hizo timu ndogo zingepata hata nauli ya kusafiri kila siku? Wachezaji wangelala sehemu nzuri? Kuna timu zingekuwa zinalala kwenye mabweni ya wanafunzi.

Hebu kuweni wastaarabu basi. Mnaboa sana.
Soka limepoteza mashabiki, waliopo wote ni maofisa ubashiri wanao bashiri idadi ya mabao.
Mwingine unamkuta analalamika timu yake inamfilisi kwa kumchania mikeka.

Hata maana ya ku bet ni kama hawaijui, wanaona kuibetia timu yao ushindi wanaona kama ni wametoa sadaka ya kuiombea ishinde. Hata timu yake iwe mbovu unakuta anakimaa kuitabiria ushindi.
 
Soka limepoteza mashabiki, waliopo wote ni maofisa ubashiri wanao bashiri idadi ya mabao.
Mwingine unamkuta analalamika timu yake inamfilisi kwa kumchania mikeka.

Hata maana ya ku bet ni kama hawaijui, wanaona kuibetia timu yao ushindi wanaona kama ni wametoa sadaka ya kuiombea ishinde. Hata timu yake iwe mbovu unakuta anakimaa kuitabiria ushindi.
Umenena vema Mkuu
 
Back
Top Bottom