Mashabiki wa Simba na Yanga tunatia aibu kwenye mitandao, tujirebishe

Mashabiki wa Simba na Yanga tunatia aibu kwenye mitandao, tujirebishe

Kipindi Simba anashiriki haya mashindano shobo kama hizi hazikuwepo....ko ovious hao ni UTI tu..
 
Kabla hatujaanza kutoa elimu ya mitandao tuanze na matumizi sahihi ya simu,
WaTanzania wanaweza kupiga missed call 9 kuulizia kitu ambacho wanaweza kutuma tu message wakajibiwa baadae, haha
Au anapiga, unamkatia kwa sababu upo mazingira mabovu yasiyoruhusu kuongea lakini anapiga tena na tena.
Unaamua kuzima simu lakini ukiwasha unagundua aliendelea kukupigia.
 
Huna akili wewe. Nasema tena huna akili. Narudia tena huna akili. Page ya instagram inaweza kuwa na thamani kuliko mchezaji? Huna akili wewe.

Hivi ukitajiwa £20M unajua kwa Tzshs ni kiasi gani?

Rudi ukalale wewe huna akili.
Katumie tembe zako za ugonjwa wa akili, page ya Instagram ina thamani kuliko mchezaji yoyote kwenye klub yake ni vile tu huna akili
 
Katumie tembe zako za ugonjwa wa akili, page ya Instagram ina thamani kuliko mchezaji yoyote kwenye klub yake ni vile tu huna akili
Hawezi kuelewa huyo Mtanganyika.
Mchezaji yupo na muda utafika ataondo
Brand na Instagram account ni biashara kubwa siku hizi na itakuwepo hata baada ya mchezaji kuondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue sio kujazana kwenye page shida ni aina ya comments, matusi na ujinga ujinga plus imani za kishirikina ina maana bongo ndio kuna muamko wa mpira kuliko nchi zingine mbona huwezikuta matusi kwenye page za timu za Ulaya?
Sisapoti comments za matusi
 
OLIDARITY FOREVER: “Mapenzi ambayo tumekuwa tukiyapata kutoka Tanzania yanavutia” sehemu ya maneno ya DJ Naves akimsimulia nyota wa soka wa Mamelodi Sundowns, Hlompho Alpheus Kekana kile ambacho wanakishuhudia kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii kuelekea mechi yao ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga SC.

DJ Naves ametoa pongezi kwa wote wanaowaowaunga mkono Mamelodi ndani ya Tanzania na kuwataka kujitokeza wakiwa katika mavazi yao ya rangi ya njano, huku wakikumbushana ya kwamba na Yanga pia wanavaa jezi za njano.

Kipi unakishuhudia kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya Mamelodi?
 
Utopolo tulieni Mnyooshwe wakati viongozi wenu wanavaa jezi za timu za nje na kuwapokea wageni na kuwajaza uongo kua Simba inapuliza dawa kwenye vya kubadilisha nguo mlikua kimya hamkuwai kukemea leo hii kutwa kuliakulia,

Hatuna cha kuwasaidia zaidi ya kuwaambia tulieni mkandwe
 
Sisapoti comments za matusi
Imagine hii ni official page ya Singida Fontaine Gate FC, ujue jinsi gani nchi ina ujinga mwingi
IMG_20240327_120307.jpg
 
Mpira ni biashara na products ni mashabiki.

Simba na Yanga tuna utamaduni wetu ambao napendezewa nao ndio maana huwa nakuwa na mashaka na watu wanaosema Simba na Yanga ni Derby ya tano África.

Watu kujazana kwenye pages za timu ambazo zinajiandaa kucheza na timu zetu naona ni kitu kizuri.

Hiyo ndio nzuri sema unaiona simple kwasababu haifanyiki kwako.

Kwanza inaonesha kuwa Taifa letu lina mwamko wa watu kupenda mpira..

Vipi ungeona Al Ahly na Mamelodi wakijazana kwenye pages za Simba kama hivyo we ungejiskiaje?

Lazima uwe proud.

Basi pamoja na kwamba hiki kitu kwako unakiona cha kishamba lakini wao Mamelodi wanakifurahia na kweli kinawasaidia katika kujitangaza.

So siku nyingine hata ikitokea mnaomba friend match kwenye siku ya mwananchi watakuwa rahisi kuwakubalia kwasababu wanaijua nguvu yenu.
Uzi ufungwe football ni sitarehe page za Liverpool na Manchester uwa tunafatilia comment za kule kama tunafatilia mtoa mada asingeita wabongo washamba
 
Katumie tembe zako za ugonjwa wa akili, page ya Instagram ina thamani kuliko mchezaji yoyote kwenye klub yake ni vile tu huna akili
Wewe kweli mwehu. Hivi Maghayo ukienda kwenye account za club ya mpira utakuta page ya social network nayo ni asset zilizoorodheshwa?
 
Mpira ni biashara na products ni mashabiki.

Simba na Yanga tuna utamaduni wetu ambao napendezewa nao ndio maana huwa nakuwa na mashaka na watu wanaosema Simba na Yanga ni Derby ya tano África.

Watu kujazana kwenye pages za timu ambazo zinajiandaa kucheza na timu zetu naona ni kitu kizuri.

Hiyo ndio nzuri sema unaiona simple kwasababu haifanyiki kwako.

Kwanza inaonesha kuwa Taifa letu lina mwamko wa watu kupenda mpira..

Vipi ungeona Al Ahly na Mamelodi wakijazana kwenye pages za Simba kama hivyo we ungejiskiaje?

Lazima uwe proud.

Basi pamoja na kwamba hiki kitu kwako unakiona cha kishamba lakini wao Mamelodi wanakifurahia na kweli kinawasaidia katika kujitangaza.

So siku nyingine hata ikitokea mnaomba friend match kwenye siku ya mwananchi watakuwa rahisi kuwakubalia kwasababu wanaijua nguvu yenu.
Kuna mwehu anasema Samatta aliondolewa Villa kisa comments za wabongo kwenye page ya Villa
 
Akili yako ni ndogo sana huwezi kuelewa
Toka hapa mwehu wewe. Unafikiri kishamba sana. Watu wenye malengo ya mbali waliowekeza pesa zao huwa hawayumbishwi na comments. Ingekuwa hivyo career za wengi zingeshakufa.

Tokaaa
 
Hivi una elewa maana na official page? au unatingisha matako tu hapo
Official page? Yes ni official ila huwezi ikuta ikiwa listed as an asset kwenye club. Ila mchezaji ni asset ndio maana wanalipa billions kumnunua.


Acha ushamba. Kasome kwanza upate hata elimu kidogo kuku wewe.
 
Hawawashangai hao watu wanajua hata huko kwao wapo vichwa kabeji wa aina ya watanzania
 
Back
Top Bottom