Mashabiki wa simba ni wakomavu ,wameonesha mfano huko twitter kwa kumpigia kura Mudathir Yahya kumwezesha kushinda mchuano wa goli bora

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
MAENDELEO HAYANA CHAMA [emoji119][emoji119][emoji119]

MASHABIKI WA KLABU YA SIMBA SC WAUNGANA NA MASHABIKI WA YANGA KUPIGIA KURA @mudathir_yahya27

Goli lake dhidi ya TP Mazembe liweze kishinda goli bora kwenye hatua ya makundi #cafconfiderationcup

Unaweza kuendelea kumpiga Kura kupitia ukurasa wa Twitter wa CAF - (CAFCLCC)

@cafclcc
 
Umechanganyikiwa ama unachanganya mambo....haiko hivyo kabisa

Rudi twitani uje utuonyeshe huo muungano...[emoji24][emoji24]
 
Tupe uthibitisho unaonesha kuwa Mudathir alipigiwa kura na wana Simba pia
 
Mkiambiwa uto hamna akili mnanuna🤣🤣🤣🤣
 
Mimi mwenyewe nimempigia kura Mudathir kule twitter kwenye page ya CAF, unajua kwenye haya maisha ukishakuwa tajiri, usiwanyime wenye mahitaji vitu vidogo vidogo.
 
Tupe uthibitisho unaonesha kuwa Mudathir alipigiwa kura na wana Simba pia
Yanga ndio mna hizo itikadi za kuchukulia kila kitu personal

Mimi sijaingia twitter kwa muda, ila ningeikuta hiyo selection ninge vote kwa Mudhathir
 
Wewe ni mbumbumbu pro max[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kura moja hiyo haya kura zingine ziko wapi? Hiyo mentality ipo kwa baadhi ya watu ambao kwao huangalia maslahi ya taifa kwanza kabla ya ushabiki wa timu. Lakini ni asilimia chache katika Watanzania
Mm pia nimepiga kura kwa Mudathir
 
Mimi mwenyewe nimempigia kura Mudathir kule twitter kwenye page ya CAF, unajua kwenye haya maisha ukishakuwa tajiri, usiwanyime wenye mahitaji vitu vidogo vidogo.
Kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…