Simba na jezi zao kama damu tena damu ile ya....Kwani shoots on target bila goli zina maana gani? Nikiwatazama yanga na jezi zao naona kama mikungu ya ndizi zilizoiva
Tena Sare yenyewe ya kushukuru Mungu kwani ilikiua Yanga watoke kifua mbele.Yule mwarabu Mo atamshikisha ukuta mtu huu msimu haiwezekeni libiloni lizima likatoe sare ya kizembe vile na wale vyura wanaonuka njaa mpk unyayoni
Jangwa lipi? Mbona linaelea kwenye mafurikoPambana na hali yako.Simba mbwembwe znawaponza,Acha sisi tuogelee jangwan
Duh “wanaonuka njaa mpaka unyayoni”Yule mwarabu Mo atamshikisha ukuta mtu huu msimu haiwezekeni libiloni lizima likatoe sare ya kizembe vile na wale vyura wanaonuka njaa mpk unyayoni
Unaziona hivyo hizo jezi kwa sababu una makengeza ya moyo. Ndio maana huoni maana ya ‘shoots on target.’Kwani shoots on target bila goli zina maana gani? Nikiwatazama yanga na jezi zao naona kama mikungu ya ndizi zilizoiva
Yanga Aka 'Wanga' kandambili original wanafuraha iliyopitiliza kuchoropoka mdomoni mwa mnyama.
Sio kwa furaha hii jamani! Sare mnaifurahia namna hii!!?
Unazungumza kila siku...?Vyura fc wamezoea kufungwa kila siku na mmewao simba,sasa wanashangilia sare.aya ongereni kwa ushindi wa jana
Simba kila mwaka anaanza kuwa Simba lkn mwishoni anakuwa paka.Hivyo Wanayanga wasihofu Simba tayari anaelekea kibra kama kawa!
Na mwisho wa ligi ndio bingwa....simba aliyewaroga naomba awasamehee jaman.Kwani mbona misimu 2 iliyopita timu yenu ilikuwa ikisajili kwa gharama kubwa kuliko Simba SC lakini mlishindwa kupata ushindi zaidi tu Kichuyaaaaa akipeleka maangamizi, je mlikumbwa na nini kifafa au?
Hongera kwa ushindi wa jana . sare kwenu ushindi